Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

JINSI ya kuendelea KUVUMILIA UTAMU!

>> Tuesday, June 02, 2009

UTAMU ni MAUMIVU!

Na LABDA kama unanogeawa na utamu KUNAUWEZEKANO unajua MAUMIVU.



Swali:

  • Hivi wakati unasikilizia utamu ushawahi kujiuliza ni kwanini UNADHANI ni TAMU?


Na labda wakati unasikia utamu hujiulizi kwa nini utamu wa sukari na kikojoleo ingawa unajua hivyo vyote ni tofauti ila bado vyote ukifaidi unadhani au unauhakika vyote ni vitamu.
Swali:
  • AU?
  • Lakini si unajua ukizidisha sukari hata chai hainogi kwa kuwa sukari imezidi na chai imezidi utamu?


Na ni kweli kuwa hata kikojoleo kinaweza kukusaidia kusikilizia utamu lakini labda ukikinusa wakati kinakusaidia kuonja utamu BADO labda KINANUKA.:-(


DUH!
Naacha WAZO na kumbuka hili ni moja la wazo tu!:-(
AU ngojea Kofi Olomide amuongelee - SYLVIE


Au tu tu Frankie Paul arudie kuongelea - SHUB IN

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:05 am  

Kazi kwelikweli;-(

Simon Kitururu 4:59 pm  

Ni kazi haswa!:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP