Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Staili YAKO!

>> Saturday, January 09, 2010

...staili YAKO ikifanana na ya WATU WENGI kivyenu ,...


.....kama unastukiwa KISTAILI kwa hiyo STAILI labda ni kwa kuwa UNAHARIBU SANA au weye BORA sana katika hiyo staili KISTAILI na haki ya nani kWA HIYO STAILI wakustukiao wanaweza kukuita weye MJANJA.:-(



Swali:
  • Si unakumbuka kwa wakoseao staili kuna mjanja wao pia?




....na staili YAKO ikizidi kutofautiana na staili nyingi za WENGI AMBAO kwako ni WENU,...

....hata ikiwa ni KWA SABABU YA KUFIKIRIA KWAKO TU hasa wakati weye katika KUNDI LENU HUSIKILIZWI FIKIRA ZAKO wala HUONEWI DONGE kistaili ,...


...bonge la staili yako yaweza kusababisha UONEKANE KICHAA wakati katika STAILI YAKO HATA KAMA NI YA KUONYESHA TAKO weye mwenyewe una bonge la tako bora NA STAILI YAKO ni BORA na kihesabu ni KUBWA KULIKO ,....

... ila kwa bahati mbaya wakati huo ni TITI na sio TAKO lililoko kwenye FASHENI na STAILI....


....NA YOTE NI KWA KUWA ukweli ni kwamba BINADAMU katika kuchagua ni nini BORA au KIZURI KISTAILI ukifikiria ,...


.....ZIKO UBONGONI ,....


... NA WENGI BINADAMU NI WAVIVU KUTUMIA UBONGO na KUFIKIRI .:-(





NDIO,...
..... sababu mojawapo isababishayo FASHENI na STAILI lazima zibadilike KILA MARA

... inaelezeka kirahisi hata bila kutumia AKILI KWA kuangalia KUCHOKA hata kwa WALI WA NAZI na MAHARAGE kama ukirudiwarudiwa ,...


.....KWA HIYO, ....


.....ili wapendao STAILI HII wasiboreke a.k.a kuchoka FARAJA ya staili hiihii KILA SIKU ,....


....kiakili INABIDI lazima WABADILI aina hata YA staili ya CHUPI hata kama chupi ya mwaka jana ya mauaua na ya mwaka huu ya NJANO zote zinateteza NYETI vilevile UKITUMIA AKILI ,....



...na kwa hili KISIASA ndio maana UKOMUNISTI ulizidiwa na UBEPARI hasa kwa kung'angania YALE YALE.:-(



Lakini pia tusisahau KUBADILI STAILI hata ya chupi KWA KUMNUNULIA MPENZI chupi nyingine za STAILI MPYA kama zawadi kwa LIMCHUMBA LAKO,....


...kinamna KWA LIMCHUMBA au hata LIMPENZI TU inasemekana HUWEZA kuleta MAANA kuwa UNALIPENDA KWELI LIMCHUMBA/limpenzi kwa kuwa tu au hasa tu kama LIMPENZI LITAHISI kuzipata HIZO ZA STAILI MPYA inabidi MWANAWANE uwe na bidii , unuie kweli AU TU uwe hasa MJANJA au tu staili yenyewe inasema...

- `` NAKUPENDA KWELI MPENZI´´!!.:-(




Swali:

  • Si unakumbuka staili ya zawadi hata ya bei poa inaweza kumaanisha unamfikiria kweli MPENZI wakati staili ya bei ghali ikawa inasema kwa mpenzi ngojea niondoe kero limpenzi liache kunikera?
  • NA lakini SI unakumbuka WAJANJA SANA moja ya STAILI ya UJANJA WAO ni kufanya watu wasistukie wao ni WAJANJA?


NI HILO TU Mheshimiwa na NI WAZO TU ingawa limekatizwa!:-(



Hebu Angie Stone abague kwa kusifia wanaume weusi katika- Brotha






Boney M wabague kwa kumsifia- Brown Girl



Bob Marley akumbushe kuwa watu wasipoacha kubagua , kwa kuona rangi au hata MSHEBEDUO kama vile TABAKA ni nini kitatokea katika- WAR

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP