Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

JAMBO LISILOKUHUSU likikutia NYEGE!:-(

>> Sunday, August 29, 2010


Ndio ,...
......mara nyingi kimtiacho nyege mtu ni ambacho sio chake,...


.......na INGAWA hata kama KINUNIA SHUGHULI  kina upele wenye usaha,...



....LABDA mwenye nyege KINUNACHO na KIKENUACHO  kikitekenywa  HATA KABLA YA SHUGHULI bado katika kupandisha JAZBA ya  hamu ya utamu  ya
 MHESHIMIWA KINUKA MKOJO ,....


....hicho KIDUDE  hata kama hakita kata makali  baada ya kuonja AU KUONJWA labda bado MHESHIMIWA mwenye nyege kama kina mgusa ANGALAU  MAWAZONI ,....
....labda hicho  KINAMHUSU.:-(





Swali:
  • Unafikiri UNAUHAKIKA  kuna jambo lisilo KUHUSU ?

NI WAZO TU HILI Mheshimiwa BI Mkora!:-(

Hebu katika kubadili ndude tumsikilize mtoto wa NYERERE ambaye kwa jina ni ROSE -MARY NYERERE akijitetea kisomi....... na SAMAHANI kiswahili chake kinahitaji Kingereza katika baadhi ya pointi:-(




Au tu Kanda Bongo Man achokonoe kidude kwa -Cantique



Au tu Kanda Bongo Man arudishe mdinyo ajulikanao nao afrika kwa ndude-Wallow



Au tu Kanda Bongo Man aendelee kushusha uji mzito katika.......

Read more...

KINUKACHO, na kisababishacho HARUFU mbaya ya sehemu za siri za MHESHIMIWA labda havina uhusiano wa moja KWA moja.:-(

Swali:

  • Unadhani CHAKULA na MDOMO vina uhusiano wa MOJA KWA MOJA?


 Turudi katika taralila:




Wakati  umestukia MHESHIMIWA ananuka UCHI,...
... labda ni kweli sio kosa lake ,....


.... kwa kuwa ni kweli PIA kuwa UHESHIMIWA na MHESHIMIWA mwenye uchi labda hawana uhusiano wa moja kwa moja KAMA ufikiriavyo,...
... na labda UCHI wake  MHESHIMIWA hauhitaji kuheshimiwa kama ufikiriavyo,....

....na  labda UHESHIMIWA wa mheshimiwa  MUUZA SURA  ukimnusa sehemu zake  za siri kabla HAJA JI SWAFI  uhakikicho katika ufanyakazi bora wenye hari MPYA labda sio  wa MHESHIMIWA kujiswafi bali ni jinsi tu  vitu vingine kama vile BAKTERIA zisaidiazo hata MHESHIMIWA KUJAMBA  zifanyavyo tu  kazi zao SWAFI.:-(


SWALI:
  •  Si unajua KINUKACHO labda hakina uhusiano wa moja kwamoja na kisababishacho  UCHI  unanuka?

Ndio,...
....katika KUNUKA kuna bomba la DEMOKRASIA;...
...labda ndio maana  yoyote yule mazingira yakilipa atanuka KIKWAPA vizuri tu.:-(




SAMAHANI kwa wazo lililopinda  na ni ruksa kunitukana SHENZI kama  sentensi  ZANGU katika hoja hii zina tako kubwa.:(

Hebu NINA SIMONE abadili swala kwa kuachia ndude -I want a little sugar in my bowl





Nina adunge -FOUR Women




Nina Simone akojoe kisanii- MOOD Indigo




Nina Simone aachie- My baby just cares for me



Nina Simone amalizie kwa ndude-Feeling good



Au tu anyuke hii kitu bomba iitwayo -FEELINGS


Basi bwana labda tu naye  Eric Clapton azime jazba TU  kwa kitu-LAYLA

Read more...

Kwa kuwa kuna UMADHUBUTI wa HATA chupi iliyochanika KIDOGO,....

>> Saturday, August 28, 2010

..... KIFICHA NYETI  a.k.a kifumbisha jicho  ENEO ANUAI , huwa kinaweza kutimiza  HAJA ZOTE za kuficha UCHI kuliko hata chupi mpya  iliyoingia MNATO MFEREJINI  ambayo ni bonge la chupi kama la bibi kwa UZIMA.:-(


NA inategemea unachungulia NINI kwenye tundu DOGO,...
.... kwa kuwa  NI KWELI pia HATA  kwa kuchungulia kwenye TUNDU DOGO  unaweza kuona MZIGO WOTE  wa bonge la UCHI  UNUKAO wa mtu MZIMA.:-(

Swali:
  • AU?

Ndio,....
...KIDOGO,...
...hata kama ni  KWA kuingiza tu kidogo,...
....USISHANGAE kitendo hicho  kumfanya  apate mimba hata INZI  jike aliye na utu UZIMA.:-(





Swali zaidi KIDUCHU:
  • Si unakumbuka CHUPI aka KIFICHA NYETI chenye tundu kinaweza kuwa kinafanya KAZI vizuri za CHUPI  kama tundu HALILENGI utakapo UTAMU ufichwe?





TAHADHARI: Stori hii haina uhusiano na CHUPI wala UCHI wa mtu na ukifikiria utastukia HICHO!:-(

 
NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA  na ni ruksa kutonielewa NA MKUU KWA HILO usikonde!:-(

Moja kwa moja hebu Mchungaji MUNISHI abadili mkao kwa ndude nzito iitwayo- Michael Jackson is not DEAD just sleeping.




Au hebu Lenny Henry na Rowan Atkinson aka MR BEAN wacheze na kumbukumbu ya Michael Jackson



AU hebu tu FRESH JUMBE arudie ngoma nzito yenye tako kubwa katika -Ama zake AMA zangu

Read more...

Kwa kuwa PROFESA MBELE sio ISSA MICHUZI!:-(

Katika kijiwe  nilichopitia MUDA si MREFU,...

.... moja ya hoja ilikuwa  ni UFANANISHAJI na umuhimu wa wafananishwao katika JAMII.:-(

Kwenye MABLOGA wa ki -BONGO ambao wanatujumlisha na siyeMABLOGA ambao sio warefu,....
.... ikaanza hoja ya kwa nini  kuna WABONGO  waendao zaidi katika BLOGU fulani fulani kuliko BLOGU NYINGINE  ambazo kuna wadaio ndizo zimeenda shule zaidi na kunasa  BUSARA ZAIDI kuliko BLOGU ambazo wanahisi labda hazina mchango muhimu sana  kwa JAMII .

Swali:
  • Unafikiri ni kweli watu wote kwenye jamii, uonalo ni muhimu WEWE ni lazima na wao walione ni MUHIMU?


Moja za BLOGU maarufu na wafananishwao ikawa ni pamoja na  blogu ya  Lady Jay Dee, Kaluse na busara zake, Profesa Mbele , Mjengwa na Anko Issa Michuzi  bila kumsahau Chemi che Mponda, Dina Marios, Dinah wa DINAHICIOUS, Matondo , Mubelwa Bandio,Muzee wa Lundu NYASA, Edo Ndaki,..,...,... Matiya  William Malkiory,...na wengine wengi.:-(




Mengi yaliongelewa na kila MSHABIKI alikuwa na lake ni kwanini KALUSE ni zaidi ya BWAYA, au Yasinta Ngonyani ni zaidi ya Matondo Nzuzullima,.....
.... bila kusahau kuwa mjadala ulinoga pale WASHABIKI wa Profesa Mbele walivyo kuwa wanadai kuwa Profesa Mbele Mchango wake ni mkubwa kuliko wa Issa Michuzi kitu ambacho kilijibiwa na hoja kama:..
....kwani mchango wa Issa Michuzi kama ni mdogo kwanini hata akilini kwako kanasa MPAKA kila ukitaka kujua YA BONGO  moja ya kifusi cha habari za bongo ukifukuziacho ni hichohicho cha Mkuu wa Wilaya aka Issa Michuzi....nk..



Swali:
  • Kwa ni haiwezekani kuwa kila mmoja mchango wake ni muhimu  kwa auhitajio?
  • Kwani mchango wa Mama mzazi  na wa  Baba mzazi lazima ufanane  kwa kufananishwa kwa kipimo kimoja ki umuhimu wao?
  • Hivi ni kwanini watu hupenda kushindanisha  vitu NA WATU  hapa duniani , na kama napenda miziki ya Profesa J kwani inamaana  ni lazima Profesa J awe ni mkali kuliko Mwanafalsafa au AY ?

Hoja hizi za nani zaidi ZIMENISHINDA na mpaka leo ukiniuliza siwezi kudai najua ni nani zaidi kati ya Peter Tosh na Bob MarleyLady Jay Dee na Ray C Tatunane na Watafiti, SINDIMBA na MDUNDIKO, ....:-(


Swali kidogo zaidi:
  • Hivi Rais Mwinyi na Rais Mkapa nani zaidi?
  • Kwani unauhakika Nyerere alikuwa ni zaidi ya KAWAWA kwa Nyerere?


NI wazo tu liendeleao kunikuna kwakuwa nimeondoka katika kijiwe ambacho bado  Wamshabikiao Issa Michuzi na Wamshabikiao Profesa MBELE wanaendelea kulumbana nani zaidi ingawa kwa mtazamo wangu ni kwamba wote  wawili{Profesa Mbele na Issa Michuzi }nauhakika kuna shule wamewapa na nashukuru kwa kuwa mie ni mshabiki wa wote hawa MABLOGA WAWILI WABONGO ambao ni hazina ya TAIFA.



NI HILO TU MKUU!


Na hebu  nijaribu tena kujaribu kustukia ni nani zaidi kati ya Bob Marley na Peter Tosh wakati najua hakuna watu wawili duniani wawezao kushindanishwa kwakuwa naamini hakuna watu wawili WALIO sawa.:-(

Hebu Bob Malya arudie -Crazy Baldhead



Au tu Peter Tesha akune kwa ndude-Mama Africa

Read more...

Unafikiri UNAWEZA kuwa RAIS mzuri wa CHOO kama hata harufu za MAVI huzijui?

>> Friday, August 27, 2010

Inaeleweka  kuwa ASIYEPENDA harufu mbaya za KINYESI ,....

....anaweza kuwa ni mfanyakazi bora tena wa kujituma katika kusafisha UPEVU wa tunda  MSALANI.:-(


Swali:

  • AU?

Na LABDA  kujulia KITU hata kama kujua huko ni kwa kitu kama  tu  KUKUNA kipele TU kitu ambacho kwa mtazamo wako NI shughuli IJULIKANAYO KIRAHISI  kuwa  ILI KUIFUDHU haihitaji MIAKA,....
.....inabidi UFIKIRIE na KUANGALIA UPYA kuwa kuna uwezekano hata  pia KUJIFUNZA UFISADI kwa ambaye HAKUWA FISADI ni rahisi  na hakuhitaji WIKI MBILI kwa KABWELA KUUPATIA  ufisadi  .:-(

Swali:
  • AU?
  • Unafikiri kujifunza UFISADI na kwa MTOTO kujifunza kuacha kunyonya KIDOLE ni NINI  ni kigumu ZAIDI?


Na wakati TUNAELEKEA KWENYE UCHAGUZI TANZANIA,...
...na tunamatumaini ACHUKIAYE ufisadi  ataendelea KUUCHUKIA ufisadi hata akiwa katika nafasi imtiayo nyege ya UFISADI kwa kuwa KATIKA SEHEMU AMBAYO  kazungukwa na viwezavyo KUFISADIWA,....

.....inawezekana kuna waondolewao BIKIRA ya UFISADI hata kwa kujichokonoa wenyewe chumbani wakati  WASHABIKI hakuna.:-(


Swali:
  • Unafikiri unaweza kuwa RAIS mzuri  wa CHOO hata kama harufu za MAVI hujui?

Samahani MHESHIMIWA  kwa kuwa KUNA UWEZEKANO   wazo limepinda na  haki ya mjusi tena hili ni WAZO TU na NIMEACHA!:-(






Hebu katika kubadili hali ya hewa KIJIWENI Richard Marx arudie baladi nene iitwayo-Right Here Waiting For You






AU ngojea Michael Bolton na Percy Sledge warudie ndude-When a MAN loves a Woman


Read more...

BINADAMU ni MBAGUZI na asingekuwa MBAGUZI LABDA asingejali kuwa SURA ya KIMWANA MZURI ina pua kama JIPU!:-(

>> Thursday, August 26, 2010

Na haki ya nani tena BINADAMU huchagua ni nini  ni UBAGUZI wa kuulalamikia,...
.... ndio maana UBAGUZI wa VYUO au SHULE TU FULANI wa kuchagua waliopasi tu MTIHANI huwa hauonekani kuwa ni UBAGUZI.:-(


Haki ya nani tena LABDA hata kuchagua wafanyakazi  kwa kudeku uzoefu wao katika kazi aka EXPERIENCE ambao WANAFUNZI huulalamikia,....
.... ni ubaguzi tu  ingawa ampandishaye cheo MFAGIZI WA CHOO kuwa meneja wa CHOO CHA STENDI kisa siku hizi ni MZOEFU kuhusu maswala ya MSALANI NA HARUFU ZAKE huwa hadhani kitendo chake ni UBAGUZI.:-(


Swali:
  • Unadhani wewe sio mbaguzi tukinyambulisha ni nini KIKUTEKENYACHO kunako kwa kupenda kikutekenye ENEO ANUAI kwa hiari yako?



Ndio,...
.... labda hata uchaguzi wako wa kumpenda KISHTOBE mwenye tako jembamba kuliko  yule mwenye tako LILILOTUTUMUKA ni ubaguzi,...
.... ingawa kwa sasa  unadhani UBAGUZI ni ule tu wa RANGI, kikabila  au tu KIDINI kwa kuwa tu dini yenu ya kuamini MBUYU  inadharauliwa na waaminio dini za PESA.:-(


NI WAZO TU hili MKUU na wala huhitaji ukoko wa makande yaliyo ungwa kwa nazi ili KUPOOZA jazba!:-(

Hebu ERIC DONALDSON abadili kitu kwa kitu-Traffic JAM




Au tu Gregory Isaacs arudie-Material Man


Au tu tena GREGORY akune kwa- Not the way



Amwage-Hot Stepper




AU tu aachie tu tena na ndude -Cool down the pace

Read more...

STAFF BENDA BILILI!




Napenda tu hii BENDI,....
....STAFF BENDA BILILI!





Idake katika -Je t'aime




Staff Benda BILILI walete na ndude-MOZIKI




Au tu wadinye na mkuno-Marguerite



STAFF wamwage kitu -Mwana



Jifunze tena kitu kidogo kuhusu STAFF BENDA BILILI kama huijui Bendi hii kutoka CONGO


Au niachie tu baadhi ya picha za juzi ya jana wakati STAFF Benda Bilili wako kazini
























































































Add caption
Add caption
Add caption

Read more...

MIPANGO ya KIGOLI januari VS MIPANGO hiyo YA KIGOLI mwishoni mwa MWEZI WA NANE!:-(

>> Monday, August 23, 2010

Mwanzoni  mwa mwaka waweza kukuta kila MTU ana mipango kemkem MIPYA,...

.....na hari MPYA.:-(

Na asiye na KIPYA,...
.... angalau utakuta ana mori na matumaini kuwa MWAKA HUU atafanya juhudi hata ya kuacha kuvaa chupi za mtumba kwa kuwa kwa vyovyote vile mwaka HUU atanunua KIFICHA NYETI kipya.:-(


Swali:
  • Lakini si inakumbukwa kuwa MIPANGO PEKEE bila mikakati ya utekelezaji na vitendo kuchukuliwa hatua, MIPANGO hufanana na ALINACHA tu?


Na tusisahau tu kuwa,....
....KIBINADAMU,...
....binadamu awezacho kuwa na uhakika nacho JANUARI cha weza kuwa kimekaa kinyume hata Februari.:-(

Ubinadamu NISHAI kwa kuwa,....
... eti kwa LIBINADAMU,...
.... uhakika hata wa MIPANGO YA SASA HIVI ya kuwa baadaye ya leo HII , ... hilo  LIMTU  litakaa  uchi hadharani inaweza isiwe NI YA  uhakika kuwa  LABDA  ni  kweli BAADAYE hiyo HILO LIMTU  LINAUHAKIKA  hiyo baadaye LITAIFIKIA  na litakaa uchi  ,... AU hata likifanikisha BAADAYE HIYO KUIFIKIA ni kweli ILE shughuli ya kuachia DUKA LA MZUNGU LIWAZI ni kweli  kunauhakika LITACHUNGULIWA MAENEO kitu ambacho ndicho lengo la HUYO MTU katika mpango mzima wa kukaa uchi ya huyo MHESHIMIWA  ambaye anatabia nzuri tu na wala hata hana CHEMBE ya tabia mbaya au hata  kama wewe ANA   kiburi.:-(

Swali:
  • Vipi mipango yako ya JANUARI inaendeleaje katika utekelezaji MWEZI huu?:-(


NIMEACHA na ni wazo tu hili MHESHIMIWA!

Hebu tu ZAP MAMA wabadili hali ya hewa kijiweni kwa ndude-Sweet Melodie



Zap Mama wadunge na kitu-Kwenda




Zap MAMA na Erykah Badu washushe-Bandy bandy



Au tu Q-Tip amalize tu kwa-Vibrant THING

Read more...

BLAH blah BLAH! Nyoooooo!blah blah BLAH!

Kisikilizwacho au hata kisomwacho chaweza kuwa tu ni:

  • Blah blah BLAH Rais Kikwete kaanguka ....Blah blah blah!


  • Blah blah blah Bi Ashura kakuza tako kwa dawa za mchina BLah blah blah .. na sasa anapata sida kwenda HAJA kubwa blah blah blah!

  • Blah Blah Blah Huzuni ni chanzo cha kusikilizisha MTU upya FURAHA... blah Blah blah!

Swali:
  • Lakini katika BLAH BLAH BLAH si kunauwezekano mtu akaambulia angalau pointi moja ambayo inaweza ikajibu  kama umebanwa choo kiko wapi?
  • Umeshawahi kujiuliza MBWA huwa wanasikia ni nini asemacho BINADAMU  katika stori zake ndefu za BUSARA?


Ndio,...
... kidhaniwacho ni BLAH blah blah kinaweza kuwa ni cha BUSARA,...
.... ingawa chochote MTU asichokielewa kwake huweza kugeuka Blah blah blah.:-(


Ndio,....
... blah blah blah ambayo kweli ni BLAH BLAH BLAH inaweza kujenga mtu busara,....
..... kama anaistukia Blah  blah kuwa ni BLAH BLAH blah.:-(
Swali:
  • SI inasemekana kuna waongeao ya BUSARA  katika KUTONGOZA na WASIOPOE NGOMA na kushangaa wapiga BLAH BLAH BLAH katika mtongozo wakiina na kuinuka wanaokota kwa mtongozo KIDUDE?


Labda jiulize mara mbili,....
.... kwamba udhaniacho  ni BLAH BLAH blah kweli ni blah blah blah  kwa kuwa unadhani ni blah blah blah...

... kwa kuwa  labda wengine sio WAPUMBAVU KAMA UDHANIAVYO kwa kuichukulia hiyo blah blah  kuwa ina UJUMBE MZITO kitu ambacho  kinawafanya  hata wamvulie mtu KIFICHA NYETI wakigawiwa KAULI ambazo kwako ni  Blah blah blah HATA katika MTONGOZO.:-(

NI wazo tu hili MHESHIMIWA na ruksa kulibishia hasa kama halikupandishi mdadi wa kunielewa kwa kuwa WAZO HILI kwako  ni BLAH BLAH BLAH tu !:-(


Hebu tu Harry Belafonte abadili harufu kwa kidude-Jump in the line





Au tu Harry Belafonte arudie ndude-Coconut Woman


Au tu Harry Belafonte amalizie tu kwa kitu- Mama look a booboo

Read more...

ANGALIABONGO blog!






Kuna mabadiliko ya blog yangu kutoka www.angaliabongo.co.tz na sasa kuwa:


NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI,
SARAH.

Read more...

Kama kuna mkutano wa MBU ili kutibu MALARIA!

>> Thursday, August 19, 2010

Katika mkutano wa MBU,....
.... mbu wanaweza kukubaliana pia STAILI ya kukwepa kupigwa kofi na BINADAMU wakati wanapata msosi katika staili ya KUNYONYA damu.:-(


Swali:
  • Kwani  mnyonge anategemea MAFISADI watajadili nini katika mkutano uliojaa MAFISADI Tanzania?
  • Kwani huwa unashangaa WABUNGE wakikubaliana kuongeza mshahara wa WABUNGE katika mkutano wa WABUNGE?:-(


NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA Kigoli!



Hebu twende unyagoni na Harry Enfield katika - Women Keep Your Virtue


Au tu Harry Enfield achokoze watu kwa -Women know your limits



Harry Enfield atupeleke jandoni kwa -The Conjugal Rights Guide


Ok ngojea Tenor SAW abadili mkuno kwa kurudia sindimba-Ring the alarm




Au tu Buju Banton aingilie shughuli katika ndude hiihi -Ring the alarm

Read more...

Kwa kuwa katika shughuli ya kujamba, KIJAMBIO kwa kawaida huwa hakiombwi RUKSA!:-(

Ndio,...
.... katika shughuli AMBAZO hufanywa,....
... kitumikacho kufanikisha SHUGHULI kufanywa kingekuwa na jeuri ,....
....LABDA usingekojoa.:-(

Swali:
  • Unauhakika mikono ingekuwa na kibezi ingekubali kutumika katika shughuli zako za chooni za KUCHAMBA?

NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA na wala huhitaji kubadili chupi kama HUNIELEWI nacholenga kwa hoja.:-(


Katika kubadili wazo:
  • Kama WEWE ni MKRISTO au MUISLAMU , hivi unafikiri SHETANI naye anaungua JEHANAMU kama njemba zenye dhambi?


Ok ngojea tu Manu CHAO abadili hali ya hewa kwa kidude-Desaparecido




Manu Chao ashushe-Me gustas tu


Au tu Manu Chao amalizie tu kukuna kipele kwa- Bongo Bong

Read more...

NIKILEWA , labda wewe kirahisi tu ni MZURI!:-(

>> Wednesday, August 18, 2010





KUMBUKA tu ,...
..... katika KULEWA,....
.... kuna walewao mpaka DINI!:-(

Swali:
  • Unabisha?



NI HILO tu Mheshimiwa na hili ni WAZO TU !:-(



Hebu GNARLS BARKLEY washushe kitumbua - WHO'S GONNA SAVE MY SOUL





SADE alainishe kipengele kwa-By Your Side




Au tu SADE arudie kidude-Sweetest TABOO




Au TU tumalize tu kipengele kwa kudeku Gnarls Barkley  wakishusha kitu - Crazy







Ndio nilikuwepo MEI MOSI Morogoro:-(

Photobucket





Photobucket





Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket







Photobucket





Photobucket




Photobucket

Ndio,...
....hakuna picha za MHESHIMIWA akitoa hotuba kwa kuwa KUNAUWEZEKANO nilikimbilia baa kabla ya HOTUBA kumwagwa.:-(

Read more...

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP