Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika kufananisha MTANDAO na BIBLIA,...

>> Wednesday, September 15, 2010

... waweza kukuta ni KWELI ukivitafutia mkao wa kutovielewa ambacho ndio KAWAIDA ,...
... vyote kama KORANI  ndani yake  utakuta wenye BUSARA kama MFALME SOLOMONI wenye wake MAMIA, akina MFALME DAUDI wauaye mtu kisa hamu ya MKE WA MTU, kuhusu  uhalali wa kuwa na WATUMWA,  jinsi MALAYA walivyo watamu,...

... au tu ukitafuta AMANI  kwa kuvitumia ,...
... ukaipata  AMANI kama tu UKITAKA vita uwezavyo  kupata vifungu VIIHALALISHAVYO vita kama tu  vile VIFUNGU vifanyavyo MAZINGAOMBWE ya KUWAAMINISHA WATU WAZIMA NA AKILI ZAO kuwa  LISHEKHE au LIMCHUNGAJI likisema maneno fulani na kuvisha mtu PETE basi hayo MAMTU kitendo chao cha UASHERATI hugeuka kuwa ni TENDO la ndoa lenye baraka za kutozaa mtoto  MWANAHARAMU.:-(


NI WAZO tu hili na nalikatiza HAPA kabla sijakukwaza!:-(

Hebu moja kwa moja turudi NIGERIA nimuachie  King SUNNY ADE arudie tena  kukita kinu kizito-Syncro SYSTEM





King SUNNY ADE amwage ndude ya kiafrika itingishayo kisawasawa tako kiafrika ingawa ujumbe umeathiriwa sio na uafrika katika-Saviour



Au tu tubakie tu hapa hapa NIGERIA Fela Kuti arudie kudinya ndude ya Kiafrika yenye kujivunia Uafrika katika  mkuno -Gentleman

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 9:09 pm  

duuh.....

Yasinta Ngonyani 1:09 am  

kazi ipo!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP