Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika siasa za TANZANIA ZA UCHAGUZI mtu akisema-``FUCK Wapinzani´´!:-(

>> Saturday, September 25, 2010


....ukisema WAPINZANI ni SHENZI,...
.... labda HUJAGUNDUA  kila upande  aliopo  MTU kama  kuna zaidi ya PANDE moja,...
... basi HUO   ni  upande wa UPINZANI.:-(


Swali  
  • Tukitumia mfano wa  mlango wa choo na shughuli ikiwa ni mlango ubaki wazi - SI UNAJUA Auvutae HUKU na ausukumae KULE   hata kama wahusika misuli yao haifanani  wote  wanapingana NA NI WAPINZANI  katika msukumo , na ukiwauliza malaya zao watathibitisha kuwa  wao ni WAPINZANI kisa mmoja anataka afunge MLANGO wa CHOO na mwingine anataka afungue mlango wa MSALANI?




Ndio ,...
...kwa kawaida kuna kitu cha tatu kama ANGALAU  KUNA hata wawili waongeleao UPINZANI,..

... ingawa WAWILI huwa wanatosha katika kupingana kitu kisababishazho kuzaliwa  au kusababisha kuwe na kitu UPINZANI.:-(

SWALI:
  • AU?
LABDA   kila upande ni upande wa upinzani,...
.... na  inategemea tu na tafsiri ya wahusika katika MHUSIKA kujisikia NI MPINZANI .:-(

Na ingawa kuna  wadaio  MPINZANI ni atakaye kunyoa kitu AU KUNG'OA KITU,...
... lakini ukichunguza na kufikiria VIZURI unaweza kukubaliana hata KWA WASIWASI NA MIMI  kuwa   afikiriaye anang'oa kitu hata akifanikiwa kung'oa labda naye tutakuwa TU tuna ushahidi ninini kang'olewa eneo anuai wakati anafikiria KANG'OA.:-(

Ni moja ya MTAZAMO TU MHESHIMIWA ,  na samahani kwa neno NA WAZO  la kilokole lenye neno  ``FUCK´´ katika KICHWA CHA HABARI YA taralila yangu hii  isiyokaa mkao wa KITAALAMU kwa WASTAARABU ambao neno na tendo ``FUCK´´ wamejifunza kuamini AU KUAMINISHWA  ni MATUSI.:-(




Moja kwa moja PETER TOSH aunganishe-Johnny BE GOOD


Peter TOSH na MICK JAGGER walete-Walk AND dont look BACK





DENNIS BROWN adunge-Revolution


DENNIS BROWN adinye-Land of PROMISE





ASWAD wakite kitu orijino ambacho mpaka akina DENNIS BROWN  walikopi BITI katika -DUB FIRE


AU tu ALICIA KEYS ajaribu na DAMIAN MARLEY katika- WELCOME TO JAM ROCK



Au tu BOB MARLEY amalizie na kitu bomba kiitwacho-LIVELY UP URSELF

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP