Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NI rahisi kuamini kuwa YESU alikuwa havuti BANGI kwa amzimiaye YESU ,asiyevuta BANGI!:-(

>> Wednesday, September 15, 2010

BINADAMU kirahisi HUJIPENDELEA,....
.... na kama akipendacho tafsiri yake ni USENGE kwa kuwa yeye ni JOSEPH na ampendaye ni JUMA msenge,....
... JUMA kirahisi atasifiwa  hata kwa usenge.:-(

BINADAMU kirahisi anajipendelea,...
... na hata kwa kutumia BIBLIA hiyo hiyo anaweza kupata mistari imsaidiayo kuwa PADRE wa ANGLIKANI MSENGE  hata kama kuna ASKOFU WA KATOLIKI naye kwa BIBLIA hiyohiyo atadai YESU alikuwa hahusudu WASENGE.:-(

Swali:
  • Si unakumbuka unaruhusiwa kubisha?

Lakini labda UKWELI,....
.... hata ufanyeje una KWELI na kunauwezekano mkubwa kipendelewacho na mtu kwa kuwa kinapendwa na huyo MTU wala hakibadili UKWELI.:-(

TATIZO ni :
  • JE unafikiri UKWELI ni nini?

NI WAZO TU  MHESHIMIWA hili!:-(


Hebu MAXWELL arudie ndude-Lifetime



Au tu ngojea na CRAIG DAVID arudie kitu -FILL me IN

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP