Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika YOTE mtu awezayo kuongelea,....

>> Tuesday, October 05, 2010

.... labda ni cha MUHIMU ndicho HURUKWA katika ongeleo kwa kuwa MUONGEAJI  kafunzwa na jamii kuwa hicho hadharani sio chakuongea.:-(




Swali:
  • Hivi jana ni mangapi ulifikiria na hukuyaongelea?
  • Si unajua  ujisikiacho huru kuongea usikiwe chaweza kuwa sio uwamuzi wako kwa kuwa ni JAMII imekufanya pamoja na kuona aibu kuonekana unanunua kondomu  bali pia na  baadhi ya majina ya viungo vya mwili wako unaogopa kuyataja kwakuwa umefudhu katika kujua kuwa hayo majina ni MATUSI?

Ndio,....
....katika YAONGELEWAYO,...
.... labda ni MUHIMU  kukumbuka uwezekano wa kuwa hayo SIO YOTE muongeaji ayafikiriayo.:-(

Na afikiriacho mtu kwasiri,...
...chaweza kuwa wala si siri kama tu ijulikanavyo hata kabla ya kumvulia mtu nguo kuwa kwa vyovyote vile HAKI YA NANI TENA weye una sehemu za siri.:-(







NI WAZO TU HILI  MHESHIMIWA ambalo ni ruksa kuliendelezea udhaifu !
Na USIKONDE Mkuu!

Hebu BB King anyuke-How BLUE can you get


BB King aendelee na sindimba-The thrill is gone




 Eric Clapton arudie mdinyo-Wonderful tonight





Au tu ngojea tu James Brown asawazishe kwa nguna-I feel GOOD I got U

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP