Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Lile SWALA la kuwa pamoja na nguo zote ASKOFU ajivalishazo chini ya nguo kama WEWE bado yuko UCHI!:-(

>> Friday, October 29, 2010

Kuvaa NGUO labda PAMOJA na yote YA USTAARABU wa jamii ya yakwepayo kukabili tusi la ndani ya nguo,...

 .......ni kwamba ,....
......CHINI YA NGUO  yako au hata ya SISTA WA KIKATOLIKI  aaminiwaye  KWA KUSALI sana kama vile YESU ni MCHUMBA WAKE  ,...
..... ni kama  tu  juhudi ya WASUKUMA kukataa wali haunogi ,....
..... au katika upande huohuo KINAMNA wa kuwa WALI SIO bomba sana kama MATOKE au KUMBIKUMBI WALIOKAANGWA kwa WAHAYA katika swala la ,....
.... chini ya nguo hata kama navyojaribu kutafuta lugha ambayo itakuwa laini na unastukia kuwa sijapata ni ,...
....uko UCHI!:-(



Kuna MAMBO yasiyouchi,...
....WATU wayafikiriayo mpaka yanageuza kifikira kuwa UCHI,....
.... kwa kuwa KWA KUFIKIRIA HATA UGUMU WA MAISHA wanayapanua miguuu hata yenye chupi kwenye ENGO ya kati yenye goli,....
.... mpaka unaweza kuzani  ni kweli HAYO  ;....
....DUKA LA MZUNGU LIWAZI , lauza MCHELE NA NAZI  , kaniona mimi HALAFU eti  anafunga!.:-(


NIMEACHA na wazolilikuwa linaendelea na liendeleze MKUU!
  • AU?:-(


Hebu Sankomota adinye mdinyo- Papa



Au tu Jabu Khanyile aendeleze mtekenyo - Mbombela




Basi bwana hebu JUDY MOWATT amalizie na -BLACK WOMAN

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP