Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ngojea RUMMY mutoto ya KARIAKOO aendelee... na ALIKO MWAKANJUKI aage!!

>> Friday, October 29, 2010

Photobucket







Nimemkumbuka tu mtoto wa kariakoo   RUMMY aka Mr B aka Rumpunch  kwa kuwa sijamuona siku nyingi!

















Nafikiri mara ya mwisho ambao ni muda kitambo kidogo nilivyomuona  ni tulivyopiga picha hiii...

Photobucket


Hebu aendeleze na bendi yake Mighty 44....

THIS love!


Abandike pia....

PUSH IT



Rummy nakusabahi Mkuu!
Pamoja sana MKUU!



Halafu watu MLIOKO au mtakao weza kufika HELSINKI,....

ALIKO Mwakanjuki aka DJ ALTUNEZ ambaye ni huyu hapa.....

Photobucket






AU huyu hapa na mimi....
Photobucket



Anaaaga marafiki waliokuwa naye mitaa ya ULAYA  kwa kuwa anahamia bara jingine siku ya tarehe 13.11.2010 kama tangazo linong'onezavyo.....


Huyu namchagulia jiwe SHUB IN la FRANKIE PAUL


Pamoja sana MKUU!

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 6:52 pm  

Nimesoma habari zooote, lakini ilipofika ya askofu :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP