Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SI kila mtu ATAKUBALIANA na wewe hata katika JAMBO ZURI ufanyalo lenye MAANA kijinga!:-(

>> Monday, October 25, 2010

PAMOJA NA YOTE,...
.... labda  ni vizuri kukumbuka,....


..... KILA MTU anashabiki wake  hata kwa ambayo kwa MTAZAMO WAKO afanyayo  mtu na SURA YAKE MTU  ni kama usilolipenda PARACHICHI ingawa hata bila kumchunguza kikojoleo unajua kwa vyovyote  hata kisivyo kibusara bado kama wewe huyo sio PARACHICHI aka MAKATAPELA ,....


.... na haki ya nani hata pamoja na umalaika umsukumiao ukimnusa maeneo kabla hajajiswafi wajua KIUHAKIKA  pamoja na harufu kama shombo za samaki huyo ni MTU.:-(





Swali:
  • SI unakumbuka hata HITLER alikuwa na girlfriend?


Ndio,...
 .....PARACHICHI  kama tu makande sio tamu kwa kila MTU.:-(

NIMEACHA na ruksa KUTOELEWA Mkuu!:-(

Ndio huyu ni mimi Simon Kitururu wakati bado kijana na nachana nywele.:-(



Hebu jamaa alie tena...


Au tu hebu JIMI HENDRIX asawazishe tena kwa -All along the watch tower


Jimi Hendrix adinye pia -VOODOO CHILD




Au tu James Brown na Lenny Kravitz walainishe tena kwa -Papas got a brand new bag



SIjui kwanini lakini hebu Jimi HENDIX arudie kitu live


1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Ney 11:57 am  

Wakati ulikuwa kijana! Bado hujazeeka bwana! Kumbe wewe ni mkali wa stage? Hongera sana

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP