Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati MSAADA TUTANI unaanza kutishia kugeuza TUTA kuwa ni kituo rasmi cha BASI.

>> Tuesday, October 26, 2010

Adoado HUZOELEKA.
Na  kwa dogo kama KUSHIKWA KIBINDO labda ndio mwanzo wa kupigwa MUELEKA.
Na wakati kuombwa dogo   INAELEWEKA,...
... labda OMBI hata kwa MUNGU liwe ni wakati ombi  katika hitaji kikweli LAHITAJIKA.
Kwani azoeaye  tegemezi la MSAADA hata wa DALADALA lisimame TUTANI linaloeleweka,....
..... labda afanyacho katika OMBI ni tabia tu  kutokana na mazoea kwakuwa  kutojitegemea nako HUZOELEKA.:-(



Swali:
  • Unafikiri  wengi hata MAKANISANI wamuombacho MUNGU sio  ni kwa kuwa kumuomba MUNGU ni  jambo LILILOZOELEKA tu?

NI WAZO TU HILI BINGWA na wala usikonde!:-(

Hebu tumsikilize tena Robert Mugabe


Au ngojea tujikumbushe tena  baadhi ya mitazamo ya nguli Muammar Gaddafi



Au tu tena Simple Minds warudie tu tena - Mandela Day


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP