Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KUMA weee!:-(

>> Monday, November 15, 2010

Yaitwayo kuwa ni MATUSI mengine jamani,....

....kwa AFIKIRIAYE,...
... labda hayajaenda SHULE kihivyo  na YA MKASIRISHAYO,...
.... kama kaenda shule na ANAFIKIRIA na kukasirika ,....


....labda,...


.....  huyo ndiye TUSI LENYEWE katika jamii ambayo inashindwa kuelewa kuwa KUMA kama jina la KIPENGELE cha sista duu HALIMA binti Kijeba ,...

... bado ni jina tu kama NYERERE lilivyokuwa NI  jina la MTAALAMU wa ujamaa ulioshindwa ambao bado LABDA ndio umpao heshima hata kama haukufanikiwa  kwa WATANZANIA  kufanikisha ya wampao UHESHIMIWA Mheshimiwa Rais NYERERE angalau kwa kabila lake LISILO la KIKURIYA ambalo hujulikana  kwa wajanja angalau wa kupiga kofi bonge la demu HALAFU  huyo demu KUPIGWA KOFI  akaamini KUPIGWA ni penzi kiaina kama iaminikavyo kupiga mwanamke ni aina ya kumuhakikishia mwanamke kuwa unampenda  huko  MUSOMA!.:-(


Swali:
  • AU?


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!


Hebu katika kubadili KIPENGELE au tu JAZBA ya kilokole  tupate Mbube katika-Imbube



Au tu Lauren Hill na Ziggy Marley wasitukane katika wimbo wa BOB MARLEY - Redemption Song


3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mbele 5:36 pm  

Mwaka huu, nilipokuwa Tanzania, niliwasikia wanawake kwenye baa mbili tatu katika miji tofauti wakiwatukana wanawake wenzao kwa tusi hilo hilo. Jasho lilinitoka.

Yasinta Ngonyani 9:58 am  

Kaazi kwelikweli hapo !!!

Simon Kitururu 2:16 pm  

@Prof .Mbele:Nafikiri watuwengi wakati wakitukana huwa hawafikirii ni nini wanachokisema haswa.

@Da Yasinta: Kazi kwelikweli Indeed!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP