Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda HAKUNA atakaye KUBAHATISHA KWA MAKUSUDI hasa kama mdinyo bila UBABAISHAJI mtu anauweza!:-(

>> Wednesday, November 17, 2010

Ndio,....
..... kubabaisha kwa ujuaye ANABABAISHA,...

.... yaweza kuwa ni kweli KWAKE HUYO mbabaishaji hicho anachobahatisha hata kama ni jinsi tu ya kuwa MENEJA wa CHOO cha stendi,....

....ndio kimfanyacho anajisikia aibu hasa wakati anastukia kuwa unastukia SHUGHULI anabahatisha.:-(

Swali:
  • Kwani unafikiri kwa dume zima RIJALI  linaweza kuwa linafanya makusudi  kubabaisha  hata tendo la ndoa  kama UFANISI wa kitendo unawezekana?

  • Na unauhakika huwa unajistukia kila UKIBAHATISHA kwa mfano leo kwa kuwa ukweli wenyewe labda mpaka sasa hivi hauujui ingawa ulijibu mtu?

TUNAKUMBUSHANA tu MHESHIMIWA,...
... ili angalau  uwe na huruma kidogo kwa ambao hawawezi kama wewe angalau wizi ya mali ya umma.:-(

Na ni wazo tu hili NGULI!


Hebu tupate AfroCUBISM ,.....Cuban singer/guitarist Eliades Ochoa and the Malians Bassekou Kouyate (ngoni) and Djelimady Tounkara (electric guitar) joined by Eliades' Grupo Patria and Toumani Diabaté (kora), Kasse Mady Diabaté (vocals) and Lassana Diabaté (balafon).

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP