Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Na wakati UNA SWALI gumu labda tatizo liko TU kwenye JIBU!:-(

>> Monday, November 08, 2010

Kwa kuwa KUULIZA,...
....yaweza kuwa ni rahisi  kuliko kutoa JIBU sahihi,....
...matatizo mengi yafanyayo unastukia  WATU huwa wana BUSARA za KIJINGA ZAIDI  KULIKO WEWE au tu za KUOGOPA WATU KAMA WEWE ,.....


.... ni kutokana tu na waliyowahi kupata MAJIBU,...
.....kitu kifanyacho katika WATU wahisiyo ndio yajulikanayo na KUAMINI KUWA NI SAHIHI,...
.....ni mpaka KAMA YALE ya wafikiriacho NI DINI SAHIHI, chupi nzuri, MUME KABAMBE kwa kuwa katika yote kuna ambacho wengine hawafanyi ila yeye anapenda mpaka KUILAMBA au mpaka TU YALE YA ni nini ni UJINGA au MATUSI,...


.....kitu kiwezacho kuwa kinaathiri baadhi ya watu kumsoma na KUMUELEWA Simon KITURURU hapa  kwa kuwa  labda akiandikacho ni kweli ni UJINGA.:-(

Swali:
  • AU?
  • Si unajua LABDA ni baadhi ya majibu ambayo kwako yamegeuka kuwa ni KWELI ndio maana UKRISTO unaamini una UKWELI ZAIDI kuliko UISLAMU wakati labda hakuna DINI ya KWELI duniani? 
  • SI unakumbuka ukishamuamini YESU ni vigumu kweli kuiamini dini ya BABU YAKO?

NI wazo tu HILI mtukufu MHESHIMIWA!

Hebu UB 40 wabadili kwa-Burden of SHAME



Au tu UB 40 wadunge pia na-Tyler



Au tu UB40 wamalize tu na-Drop on BY

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP