Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

STAHA ya aliye na STAHA uchi!:-(

>> Monday, November 29, 2010

Kistaha ,...
....labda sio lazima ni STAHA!:-(

Swali:

  • Si unajua kuna WAHESHIMIANAO WENGI ambao kiheshima bado  kuna wakati wanakaliana UCHI kiheshima hata kama ni ki BABA na MAMA?


Ndio,...
...kiheshima KULIA inaweza kuwa kikweli ni KULIA ya KUSHOTO:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
JUMATATU NJEMA!




Hebu Lionel RICHIE afikirie bado ni JUMAPILI katika kinu-EASY



Lionel RICHIE asalimie tu kwa-HELLO




Au tu The Commodores wabadili tu mchezo kwa-BRICK HOUSE



Au tu Lionel Richie ajaribu kurudia ndude hiihii -Brick house




Bado nipo...:-(



9 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

emu-three 10:33 am  

Mkongwe Lione Richie...kwa wale tuliobahatika wakati tukiwa sekondari mmmh, mnawaalika Kibisho girls, mara Machame, mara Weruweru...mambo hayo!
Tukiingia kwenye mada. Unaweza ukawa uchi hata ukiwa umevaa nguo! Ndio kuna ofisi moja bosi alikuwa akichojoa sana wafanyakazi wake. Mpaka msichana mmoja mstaarabu akamwambia mbele ya kadamnasi, bosi kwanini unavaa nguo.
Bosi akamuuliza, kwanini waniuliza hivyo, ...
Nasema hivyo, kwasababu nimegundua sote hapa ulishatambea nasi, sasa tukikuangalai ni kama upo uchi tu! Umevaa, kama hujavaa!
Matendo ya mtu yanaweza yakamweka uchi kwenye kadamnasi! Kwani heshima ya mtu nii utu wake, jinsi gani anavyojilinda na kujistiri!
Ni wazo tu mkuu!

Yasinta Ngonyani 11:27 am  

Mtakatifu vipi mbona unaonekana upo hai hapO:-)

Simon Kitururu 11:36 am  

@Mkuu asiyenitenga M#: Mmmh!
@Da Yasinta: Sasa niniiii!:-)

Anonymous 3:24 pm  

Nikihitaji kucheka huwa nakuja kuperuzi huku. Kuna maneno ya kufurahisha na kuelimisha pia.

Simon Kitururu 1:33 am  

@MHESHIMIWA Anonymous:

Nashukuru unanitembelea na kunasiku ukinisoma unafurahi!Tuko PAMOJA ingawa siku nyingine nitonye angalau unaitwa nani.AU?

Ney 1:12 pm  

Nakuona bro uko na pozi la kufa mtu unatisha kaka. Herehoa!

Simon Kitururu 4:15 pm  

@NEY: Pozi la kufa mtu wapi DADA YANGU, matatizo matupu basi tu!

Rachel Siwa 4:20 pm  

picha ya kwanza kama haupo,ya2 upo!ya3 unaishia!!!!!!umetoka bomba kaka.

Simon Kitururu 4:27 pm  

@Swahili na WASWAHILI: Asante Rachel!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP