Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ualimu wa MWANAFUNZI!!

>> Monday, November 15, 2010

Kuna uwezekano ,...
.....unaruka KUJIFUNZA kutoka kwa udhaniaye ni ,....
.... MWANAFUNZI!:-(



Swali:
  • SI inajulikana kuwa tatizo kubwa katika  kuendelea KUJIFUNZA ni kudhania UMEFUDHU?



NI HILO TU MHESHIMIWA!:-(

Hebu Karish atuimbie -MAMA SOFIA



Au tu AY ,MwanaFA, Banana na Ray C watatue nyoko kwa-Safi hiyooo

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Masangu Matondo Nzuzullima 6:47 am  

Mtakatifu: Leo unatupiga vijembe walimu nini?

Ni kweli. Katika kufundisha kuna kujifunza kwingi pia na kama alivyowahi kusema mwanafalsafa mmoja "tunafundisha kile tunachotaka kujifunza tena na tena mpaka tuhakikishe kwamba tukifundishacho na tujifunzacho ni kitu kile kile!"

Bila kuzingatia busara hii hapa Marekani darasani kwaweza waka moto hasa kama unafundisha (au niseme unafundishwa na) wanafunzi wa shahada ya uzamifu!

Simon Kitururu 10:11 am  

@Mwalimu Matondo:Umenena,...
....ingawa sikulenga nyie WALIMU!

Lakini si umestukia kuwa labda NI KWELI kuna afundishaye kupika UGALI afikiriaye anajua yote yahusuyo UJI?

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP