Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati kunamuongeaji HADHARANI kumbuka kuna watendaji HASA WA VITENDO wahicho kitu hata kwa siri!:-(

>> Tuesday, November 02, 2010

Swali:

  • Kwani hujawahi kustukia USIYEMDHANIA ndiye mwenye mimba katika swala zima la KUMBE usiyemdhania aweza kuwa ndiye aliyekubuhu kwenye nanihii?

Ndio,...
....KIVITENDO,...
...wale WEZI, malaya, au hata wale BOMBA LA WACHA MUNGU KUBWA KULIKO,...
....kwa kawaida HUWA sio wale wapigao kelele kwa maneno HADHARANI ili mavituz YASIKIKE ili kushawishi mitazamo ya WENGINE.:-(

Ni wazo tu hili MKUU!:-(

Hebu tubadili kwa kujifunza MASAJI aka Mbinyobinyo murua-Hapa ni mbinyobinyo murua wa mguu



Au tuendelee kujifunza masaji aka mbinyobinyo murua -Hapa ni swala la mbinyobinyo murua wa paja



Au tu tumsikilize Professor David Sinclair akiongelea KUZEEKA ni kama ugonjwa tu unaowezakutibika na hapo baadaye watu wataishi tofauti...

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP