Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo katika uchokozi: SIKU ya UKIMWI duniani kwani sio ya KIZUSHI kama siku ya WASENGE duniani?

>> Wednesday, December 01, 2010

Wakati labda kila tarehe,...

....ni UJANJA  siku hizi kuzitafutia sababu zisiwe ni siku za MAALIBINO DUNIANI kama vile kuna siku  haziwahusu MAALIBINO duniani,......:-(

Swali la kichokozi:

  • Hivi kuna siku sio ya UKIMWI duniani?
Na  wakati tunakumbuka mpaka MWEZI wa HISTORIA ya watu weusi aka BLACK HISTORY MONTH,....

......yawezekana  cha zaidi hakuna  kama wakati wowote ikishindikana kustukiwa na WATU kuwa ni wakati wakuambukizana hata gono kama si kila wakati mtu anatakiwa kukumbuka ni wakati wa gono.:-(




Haya MHESHIMIWA  ambaye leo kwako hii sio siku ya WANAWAKE DUNIANI  kwa kuwa haiitwi ya WANAWAKE,...
....mie najiwazia tu hapa MWAYEGO.:-(


Au hebu chezea sikio kwa kitu kwa kibao-Seasons of LOVE


Au tu turudie kuchezea sikio kwa ndude ``HII KITU´´ ambayo ikichezewa ovyoovyo pekupeku inaweza kuchangia mdudu kama ishushwavyona -Ras Lion na Joni Woka

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP