Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

WAKATI natafuta wa KUMLAUMU mwingine ambaye sijamuona KIDUDE ila twajua ni MKOJOAJI,...

>> Monday, February 14, 2011

...kwa kuwa  KUJILAUMU MWENYEWE hakunogi kama kulaumu MTU  akojoaye MWINGINE.:-(

Na labda WEWE kama tu  MIMI  ni rahisi kwa kawaida KUKWEPA kwa lolote  KUJILAUMU hata kwa baada ya kuwa si kosa  lamtu mwingine ashiki ilipopanda na kusababisha UKOJOAJI,...
.... kwa kuwa bado  ni rahisi katika yote yatushindayo MAISHANI kulaumu mtu MWINGINE.:-(




Na hata kama hapa hatuongelei wa MKOJO mkubwa ukojoaji,...
....labda bado NI KWELI labda karibu katika kila kitu ambacho ni rahisi KULAUMU mtu MWINGINE kunauwezekano kuna mchango mkubwa tu wetu katika HILOHILO JAMBO na labda ni mubwa kweli kuliko tufikiriacho moja ya sababu  ya matatizo yetu ni mtu MWINGINE!:-(


Swali:
  • AU?

NI wazo tu hili MHESHIMIWA !:-(
Na nakutakia KAMANYOLA bila jasho leo  MKUU!

Na moja kwa moja hebu SHAGGY arudie nguvu ya watu  mwanana hata kijinsia katika-STRENGTH  of a WOMAN




Halafu sijui kwanini labda hebu tu tena mdada TAMISHA Nicholls katika kutuwekea RIDHIMU ya siku arudie nguvu-BADDER dan DAT

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP