Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NENO!- hata kama safari hii ni neno ``KUDADEKI´´ kwa kuwa mhusika anaogopa hadharani kutamka NENO alinuialo ambalo ni ``KUMAMAE!´´ :-(

>> Monday, February 14, 2011



NENO,...
.... lapindisha hata WATU ambao kwa kawaida hujulikana kwa MANENO!:-(

NENO,...
..... linamchezo wa kuzaa mpaka VITENDO kama tukichukulia ushahidi wa kuwa LABDA NI KWELI vitendo vingi vilivyofanya hata usiowasikia wakisema NENO kuzaa labda vilianzia kwenye mtongozo ambao ni MANENO :-(

NENO,...
.... kwa lilivyo nishai labda ndio maana kuna wajivuniao wana DINI kisa kwa neno wameaminishwa kuna mpaka MBINGUNI kisa kuna wajanja wamefanikiwa kupenyeza akilini kwa mtu NENO.:-(

NENO,...
... ni matusi au tu BARAKA na SALA kutokana na MTU atafsirivyo tu NENO.




NENO,...
.... ni silaha PIA hata ya asiyeweza KUTENDA lakini mwenye MANENO!:-(


NA labda NENO,...
...... ni MUNGU kama ukifikiria NENO.:-(

Swali:
  • AU?


NI wazo tu hili MHESHIMIWA hata wewe unihukumuye kwakuwa nimeandika NENO kumamaye!:-(
Jumatatu NJEMA!:-(










Hebu nguli Linton Kwesi Johnson aingilie katikati neno kwa kinu- License Fi Kill




Linton Kwesi Johnson aendele na neno - Ingland Is A Bitch





Au tu Linton Kwesi Johnson azibue tu kitundu pia kwa neno katika - Want Fi Goh Rave


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP