Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ikibidi uende KUKOJOA,...

>> Sunday, March 27, 2011

... labda lazima UMEBANWA  na kitakacho kukojolewa.:-(





Lakini ,....
... ukweli ni kwamba BADO sio kila akojoaye NI KWELI  alibanwa na MKOJO!:-(






Swali:
  • AU?

NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:
JUMAPILI njema!



Hebu Saadiq akiwa na LUCY PEARL aongelee ghafla kidude-Without U




Saadiq aguseguse- Its a shame



Saadiq ambaye ni Raphael Saadiq arudishe LUCY PEARL katika mdinyo kimlalamiko wa demu aonyaye demu kuwa-Don't mess with my man



Basi bwana hebu Raphael Saadiq mwenyewe amalizie tu kwa - 100 Yard Dash

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mzee wa Changamoto 3:56 pm  

Duh!!!!
Labda si kila asomaye anapenda kusoma, na si kila aelewaye alipanga kuelea. Japo aelewaye anaweza KUELEWA KUTOELEWA, lakini kaelewa kwa namna apendavyo ama awezavyo kuelewa.
SWALI?
Kwanini walikuita huko usemako KUKOJOA? Unadhani kungeitwa vingine na kikojolewacho kingebadili jina?
Anyway.....NAWAZA KWA SAUTI TU

Simon Kitururu 4:09 pm  

@Papaa Mubelwa: DUH!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP