Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama ungepata BAHATI ya kuwa ndio msikilizaji sala za WATU ambao UNADHANIA sio MAJAMBAZI na ambao haki ya nani tena hudhaniwa sio MAFUSKA a.k.a sio MALAYA wakati wanamsalia MOLA wao.......

>> Tuesday, March 01, 2011

.......labda ungestukia kuna ambao HAKI YA NANI VILE  ni MAJAMBAZI na MALAYA katika haohao  WATU ambao hudhaniii wanahicho kitabia kwa kuwa UNAWAHESHIMU  na unafikiri wanamuogopa MOLA   kistaili yako  yani!:-(




Swali:
  • SI ni dhahiri kuwa lazima kuna MAFISADI ambao siri yao kubwa katika UFISADI na ufuska ni kwa kuwa JAMII kwa ujumla haiwastukii  dili lao zima ndio hilo  na asingiziwaye ufisadi ni MWINGINE tu?
  • SI inajulikana MAFISADI na MAFUSKA ni waheshimiwa tu kwa mtu fulani?


Ndio,...
....hili ni wazo tu na nakutakia SIKU njema MHESHIMIWA wakati naendelea kuwaza swala HILIHILI kiaina yani!:-(



Hebu Paul Carr arudishe hapa kijiweni JAZZ ,.... kwa jina -Y Todavia La Quiero
....safari hii akiwa na
Bobby Broom, guitar;
Allyn Johnson, piano;
Michael Bowie, bass;
Harold Summey, drums
....



AU tu labda hebu MAKASSY alainishe ndude kwa kurudia  -MAMBO BADO

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP