Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika KUIGA,...

>> Tuesday, March 01, 2011

.... ingawa kuna walalamikiao WAIGAO kama vile ni kweli kuna uwezekano wa kuiga kila kitu,....

... WAKATI NAIGA,....
.... labda ni kwa kuwa inawezekana tu KUIGA!:-(




Swali:
  • SI unajua hata kama msichana anataka KUIGA kukojoa huku kasima  INGAWA INAWEZEKANA kama wanaume VILE-bado anaweza kupata tatizo wakati anaigilizia WANAUME hata wale wenye sehemu za siri ZA KUKOJOLEA zenye ujazo MDOGO kiujazo wa kikojoleo -kukojoa wakati kashika  KAMA MWANAUME mtalimbo?


  • SI unajua lakini kuiga sio kurahisi kihivyo na labda inaweza kuwa Raisi KIKWETE atashindwa kitu kama nia yake ni kumuigilizia Rais NYERERE?

Ndio,...
....labda kuna mambo mengine hayaigiki,...
.... ingawa kuiga ni kuzuri KWELI kwa kuwa wakati unaigilizia unaweza kujikuta umetoa STEREO kivyako yani  kwa kuwa  HASA ni wewe na wewe ukifanya maswala yatakuwa ni yako KIWEWE  kwa kuwa wewe ni WEWE!:-(

 Swali:
  •  AU?

NIMEACHA WAZO  na ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(!



Hebu Burning Spear aingilie kati shughuli....



Au tu Joseph HILL akatizie denge na kuingizia mkumbusho-I tried



ASWAD wabadili kidogo lakini waweke maharage kwenye sahani ileile kwa-Follow




Au tu ASWAD wa zibue pia tu  kidude kwa-SHINE

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP