Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna FARAJA za KUZEMBEA na KIFARAJA uzembe labda ndio unifanyao pia MIMI na MALAYA WANGU tusiendelee KUJITAHIDI!:-(

>> Monday, March 21, 2011

Tahadhari: Taralila hii si nzuri kwa MFANYAKAZI BORA!:-(





Ndio,....
... pamoja nakuwa KUJITAHIDI, kuhangaikia vitu na KUJITUMA kwa wenye busara FARAJA ZAKE ndio huzisifia hata kuzitukuza kwa kubobea katika wadaivyo ni malipo manono mtu upatayo BAADA YA KUJITAHIDI na kuhangaikia,...
.... lakini labda tusisahau kuwa labda kuna FARAJA pia za UVIVU na kuzembea ,...
.... na ndio maana labda kuna MIJITU kibao inazembea na ni fulu KULA kulala.:-(

Swali:

  • Na si inasemekana kwa hata kwa WAFANYA KAZI kwa BIDII wakishapata wanachohangaikia FARAJA waipatayo kwa hilo haidumu na kwa hiyo itabidi waanze tena upya kuhangaikia kitu kingine ili kufukuzia FARAJA kama hiyo tena?:-(



Ndio,...
....Labda UZEMBE na UVIVU vinafaraja zake pia aisee,...
.... na ndio maana si kila mtu anafuata busara za hata mpaka vifichwavyo na chupi za malaya kuvihangaikia.:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!
Jumatatu NJEMA  na KUJISHUGHULISHA kwenye faraja kwema MKUU!


Hebu twende Kameruni ili Sandra Nkaké arudie kuomba mtu awe-Sex Friend





The Hypnotic Brass Ensemble warudie-Planet Gibbous



Au tu Hypnotic Brass Ensemble wamalizie tu kwa - Balicky Bon

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP