Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Mambo ya MITANDAONI!:-(

>> Thursday, March 03, 2011

SI unajua,...
.... labda SIMON  sio jina langu na ni mambo tu ya chombezachombeza mtandaoni?



Na si  LABDA kuna mpaka MAPROFESA wa  mtandaoni tu  unajua,...
.... ambao  UPROFESA wamejipa kama nilivyojipa UTAKATIFU mwenyewe ambao labda hauko chumbani  ingawa UNANG'AA angalau kwa baadhi walio  mtandaoni!:-(

NI HILO TU na ni wazo tu hili MHESHIMIWA!!:-(


AU tumcheki Waziri wa ULINZI wa Ujerumani Karl-Theodor Freiherr zu Guttenberg ambaye kastaafu baada ya kustukiwa PHD yake ni feki ili tukumbuke mambo mengi ni FEKI hata kama sio MTANDAONI kwa kubofya HAPA:-(



AU hebu tu chapchap KASSAV warudie na kubadili HATA labda palipo kojolewa kiwazo kwa -Zouk La Ce Sel Medicament Nou Ni

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP