Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ni STORI zisimuliwazo na WASHINDI ndio zikumbukwazo KIRAHISI,....

>> Thursday, March 03, 2011

.... na WASHINDI huwa na mchezo wa kusimulia zaidi STORI mbaya za WALIOSHINDWA,...
.... labda kwa JUHUDI tu kama waongezeavyo CHUMVI stori ZAO MABWANA WAKUBWA  nzuri za UJASIRI, ushujaa, umahiri na UTU UZURI,...
.... hata kama ni hata katika  MABAYA ya ni kwanini ilikuwa ni lazima wakati wanashinda ilibidi iwe lazima wabake pia na WANAWAKE wa maadui zao,....

.... au tu  ni kwanini waue mpaka WATOTO wasio na hatia kwa kisingizio  kuwa ni  madhara tu ya vita!:-(

Swali:
  • AU?

Na labda WASHINDWAO,....
..... haki yanani kama tu wafelio MITIHANI walivyo na majibu MPAKA YA HATA  ni kwanini wamefeli mtihani kwa kuwa tu walimkatalia mwalimu kidude,....
.....ukitaka KUDANGANYWA,....
..... wewe waulize tu kwanini WAMESHINDWA!:-(


Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(




Au tu Beres Hammond abadili kwa kurudia -Bad NEWS

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP