Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati inadhaniwa na BINADAMU kuwa NYANI haoni KUNDULE,......

>> Sunday, March 27, 2011

.......labda kiendeleacho hasahasa kama asemaye hilo/HUO MSEMO ni BINADAMU ni kuwa,....
.... hivyo ni ADHANIAVYO tu  na idhaniwavyo tu na BINADAMU,...


....... kwa kuwa KIHALIHALISI labda  NYANI  hatafsiri KUNDU la MWENZIYE  kama KUNDU hata kama aonalo tu ni KUNDU LA mwenzie  kwa mtazamo wa BINADAMU wawaangaliao nyani kwa pembeni,...
... kwa kuwa labda kimawazo ya NYANI labda KUNDULE  ni KIKALIO au tu  sio KITU KIFIKIRIWACHO  kama idhaniwao na BINADAMU wenye akili mpaka wanatumia akili kutafiti mikundu hiyo mpaka KUJIPATIA mpaka MSEMO huo  ``Nyani haoni KUNDULE´´ .:-(

Swali:
  • Si labda ni kweli kuwa  kuna uwezekano lakini  tetesi ya kuwa ``NYANI HAONI KUNDULE´´ ni tafsiri tu ya BINADAMU aliyewahi tu kuwa pembeni ya NYANI akaona MKUNDU wa NYANI  afikiriaye anaelewa NYANI WANATAFAKARI NINI kuhusu MIKUNDU -  kitu ambacho labda  sio kitu BINADAMU awezacho kuelewa -na kutumia afikiriacho NYANI WANAFIKIRIA katika kujaribu tu  kuelewesha MTU yale ya  KIBINADAMU?:-(




Ni wazo tu hili  dhaifu  MHESHIMIWA na wala usikonde!:-(






Hebu Al Green abadili mkao kwa -I'm Glad You're Mine



D'Angelo achokoze kwa kurudia - So Glad You're Mine (Al Green cover)



D'angelo asogeze chupi pembeni kidogo kwa - How does it feel



Hebu D'Angelo, Spanky, Saadiq, Ali Shaheed na ?uestlove wadinye -Lady

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP