Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hivi si ADAM LUSEKELO alikuwa anaandikia watu kwa KIINGEREZA?

>> Friday, April 22, 2011

.........na waongea KIINGEREZA mpaka kununua MAGAZETI ya KIMOMBO si zaidi ni wenye uhusiano na MAFISADI kwa hiyo alikuwa ni DANGANYA TOTO TANZANIA hasa kwa wamsifiao wasio MAFISADI?


TANZANIA -si ni wale tabaka FULANI ambalo  ni la walalahoi inabidi  NDILO  mafisadi liwafurumushe kwenye UONGOZI wa nchi kwa kuwa wakosoa wajuao lugha   KIUINGEREZA kama akina FREDY MACHA, na wengine wote waliokaa kibeberu WAKO  kikondoo kama Jenerali ULIMWENGU au MWANAKIJIJI aropokaye wakati yuko UGHAIBUNI ,...
... au YONA MARO aanzishaye WANABIDIII wakati  WANABIDII yenyewe ni chombo cha CCM ili kujua nini na nani anaongea wakati YONA  ndio mtunza hazina za waongeao HOVYO /Snitch in Control kwenye wanabidii yake  ituzayo ya CCM na kuhusu CCM ili waliondumila kuwili wasije  ruhusiwa kupata ulaji,...

...au kama wewe SIMON KITURURU ujifanyaye unapenda TANZANIA wakati huishi TANZANIA na ndio maana uko Passive agressive kila RASTA LUHIAMU akianza kuongea ukweli,.......

... enewei nimejaribu kunukuuu sentesi ziwatokazo watu SASA HIVI live ziendeleazo,...


Topiki inaendelea na ni WABONGO wapendao BONGO wanaendelea jadili.....

NIMEACHA ingawa sentensi zinaendelea kimtindo huohuo wa mpaka ni kwanini NYERERE anasifiwa kwa KUONGEA na kufagilia KISWAHILI wakati hata hotuba zake zimejaa KIINGEREZA halafu analazimisha watu wabobee KISWAHILI na kutoelewa TANZANIA kama alivyo kuwa anazuia BONGO kusiwe na TV ili akiongelea aliyoangalia kwenye TV wabongo wamfikirie ni JINIASI.......!:-(

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

malkiory 10:09 pm  

Kitururu; hata hapa Suomi ambapo lugha yao ndiyo priority lakini kuna watu bado wanawapeleka watoto wao english medium schools. Hatuna jinsi ya kukwepa kiingereza hadi pale serikali itakaweka mambo sawa kuchagua kiswahili kama lugha ya kufundisha kuanzia chekechea hadi chuo kikuu. Zaidi ya hapo tutaendelea kupoteza wakati kulalamika.

Fadhy Mtanga 10:10 pm  

mkuu leo umenigusa sana na hayo mambo

Unknown 5:55 am  

Eti kwa miaka yoooote hiyo iliyopita sasa hivi ndio watu wanaistukia hiyo KITU.

Tulikuwa wapi?

Tangu Mwinyi,Mkapa.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP