Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hongera sana MIDUME MIAFRIKA ambayo ni MIRAFIKI ya wake za WATU!

>> Saturday, April 16, 2011



Ndio,...
... inasemekana KIAFRIKA  kuna mipaka kiumri,...
... kwa  WATOTO wa kike kucheza na MITOTO yaKIUME.:-(


Swali:
AU?






Na inasemekana,...
....  kabla ya kalenda kugundulika ilikuwa ni  ukubwa wa CHUCHU za binti ndio kipimo  cha MIVULANA  kuchezacheza  na  WATOTO WA KIKE ,...
...hasa kwa kuwa maswala ya hedhi  kama kipimo cha toto la kike laweza kutotoa  KIAFRIKA ilikuwa  siri  ya WAMAMA!:-(

Swali:

  • Hivi kwani UAFRIKA ni nini hasa ukizingatia kuanzia MISRI , upare, mpaka AFRIKA kusini ya waishiyo huko mpaka yale ya kutairi vidude vya mabinti ni YA KIAFRIKA?
  • SI unajua wakati unaongelea UTANZANIA wakati wewe ni MNDENGEREKO kunauwezekano uongeleacho ni UNDENGEREKO kwa kuwa  kwa KIBENA u-TANZANIA huo hauaplai/ ziro mfanano?

Ndio ,....
.... HONGERA mkuu wa KIUME kama una RAFIKI mke wa mtu ambaye ni MWANAMKE ,...
.... hasa kwa kuwa nasikia siku hizi hata DUME  NZIMA ZENYE MASHARUBU YENYE MVI zikizubaa huolewa,...



... kwa kuwa kama tu SAUDI  ARABIA ,...
... KIAFRIKA nasikia  si mchezo mzuri kwa KIDUME  kilichopitisha miaka fulani kuchezacheza hata KIKUCHEKEANA TU na WAKE za watu kwa kuwa huo sio UAFRIKA!:-(



Swali:
  • Kwani UAFRIKA ni nini?
  • Na si UTANZANIA  kama jina tu TANZANIA isemekanavyo walitunga watu wawili na kufanya sikuhizi mijitu mingi inajiita MITANZANIA si labda ni jambo la kutungiwa tu na WAJANJA hasa katika kukidhi hamu za watu za kuwa na kitu cha KUJITAMBULISHA wao ni nani?:-(

NI wazo tu hili lililopinda MHESHIMIWA ,...
.........na pata Big G -wala usikonde wala kunuka mdomo BINGWA!:-(

Hebu KROSFYAH wabadili ndude kwa kutunisha tena -Water Fall(wet me)



Krosfyah waendelee kudinya - Sak Passe



Au tu Jamesy P arudie kutumbua jipu yaishe kwa -Nookie

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mzee wa Changamoto 4:04 pm  

Hujatulia wewe.

Simon Kitururu 6:14 pm  

@Muzee ya CHANGAMOTO:Utulivu kwani sio bahati tu za watu kikuzaliwa?:-(

Mzee wa Changamoto 3:29 pm  

Ninawaza "jamii" uliyokulia. Hivi jirani yako alikuwa nani?
Mwalimu je?
Idol wako?
Duh!!!!

Simon Kitururu 3:35 pm  

@Papaa Mube:

Sasa nini JAMANI mpaka umenikumbusha ya jirani MAMA MZIMA ,...


....na mpaka mwalimu wa KEMIA moro seko Miss Stefano HASA WAKATI ANAFUTA UBAO ,....
....


....ambaye KUNA KIPINDI tamanio langu la sehemusehemu lilikuzwa SANA tu kwaajili ya UREMBO wao

Unknown 6:46 pm  

Hew!!

Simon Kitururu 7:12 pm  

@Rasta wa Zamani: Mcharia: Mmmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP