Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KWA MWENYE AFYA: -kama ni BUHERI wa AFYA labda ISHI ukitabasamu kama mpenda UBWABWA akiona UBWABWA,.......

>> Monday, April 04, 2011

..... hasa kama unajua na KUKUMBUKA kuna MTUZ KIBAO zinaumwa na zingefurahi na KUJISIKIA ZINA BAHATI KWELI kama zingekuwa na AFYA kama WEWE,...

.... halafu eti WEWE ndio MNUNAJI na fulu MTORIDHIKAJI.:-(

Swali:
  • Si umedeku MWENYEWE jinsi MTUZ kibao TANZANIA zitapatapavyo kuelekea KOKOTE kule WASIKIAKO kuna MTU kaoteshwa na anagawa KIKOMBE?


Ndio,....
..... kuna wasioridhika ambao LABDA walitakiwa wawe ndio WATU wenye FURAHA sana hapa DUNIANI kwa kuwa pamoja na yote angalau WANA AFYA ZAO!:-(


Swali:
  • AU?

Ndio,....
.... TARALILA hii inakuhusu tu KAMA wewe ni MIONGONI mwa WALE wenye AFYA ZAO hata kwa kisiri,....
.... hasa ikizingatiwa kuwa SIKU HIZI kuna mpaka MTUZ kibao ambazo KISIRI zina MDUDU na zinaumwa ,...
... ingawa hufanya hilo ni siri HADHARANI ukiziona zikitembea kwa MWENDO wa MARINGO au tu ule wa KUDUNDIKA .:-(




Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Musiq Soulchild abadili WAZO kwa-Buddy





Au tu Musiq Soulchild amalizie kwa -Halfcrazy



Kabla Lupe Fiasco hajaingilia kwa -Dumb It Down



Au tu ngojea Dave Chappelle aongelee kidogo - Man Rape


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP