Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MAISHANI wakati kuna ya HUZUNI zikifanyika jitihada za kukumbuka ya FURAHA!

>> Wednesday, April 13, 2011

Maishani ,...

...NIKUMBUKE  huzuni au FURAHA,....
.... inawezekana ikawa ni moja ya la mtu CHAGUO.:-(


Swali:
  • Si tunaweza kuangalia MPAKA uwezekano huo?

Ndio,...
.... katika MAISHA kuna ya HUZUNI na ya FURAHA,...
.... ingawa kikumbukumbu MTU huweza kujikuta anakumbuka zaidi ya HUZUNI kuliko yale ya FURAHA!:-(


Swali:
  • AU?



Na labda jambo hili la watu kuwa NGULI wa KUBOBEA kwenye ya HUZUNI kikumbukumbu,....
...labda wala sio jambo la KUJITAKIA  kwa kuwa kuna waaminio HUZUNI hazina STAREHE ZAKE hasa katika kuleta maana ya kitu MAISHANI ambacho labda hicho unaweza kujitakia .:-(



Swali:

  • Kwani unauhakika kauwezekano hata kadogo  kuwa LABDA akumbukacho  MTU hakuna viasilimia ambavyo NIVYAKUJITAKIA kukumbuka tu HUZUNI kuliko FURAHA kwa ahuzunikaye ambaye labda akijifananisha na watu wengine mambo yake ni MSWANO tu?
Ndio ,...
....kuna wenye FURAHA kuliko mtu,....
.... mwenye ya KUFURAHIA kama ukifikiria!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu KOOL & the GANG waendelee kidogo kwa -Hi De Hi Hi De Ho




Au tu Professor Jay aingilie kati na kuweka nukta kwa - Hapo vipi

1 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mija Shija Sayi 12:12 am  

Mmmh! bado natafakari huu ujumbe wa leo..

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP