Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Mara NYINGINE hata kama mara ya kwanza WAKATI kitumbua kikutumbuliwa haikuwa TAMU!

>> Tuesday, April 26, 2011

Mara nyingine ,...
....ikijulikana ni MARA NYINGINE,....
......labda  utamu wa mara nyingine unatokana ukweli kulikuwa na mara nyingine iliyofundisha mtu utamu wa CHUMVI ni mtamu kama CHUMVI mara ya kwanza.:-(

Swali:
  • AU?

Na mara NYINGINE kama inafikiriwa ni tamu,...
.... labda huo ni USHAHIDI kuwa MARA NYINGINE ilitanguliwa na MARA NYINGINE nyingine ambayo hata kwa mjanja ilikuwa ndio SHULE:-(



Swali:
  • AU?
Kama kuna mara ya kwanza hata katika kumpapasa MHESHIMIWA kiheshimiwa,....
.....ilikuwa MPAPASAJI PAJA  anaogopa hata kumgusa MHESHIMIWA  kwa kuwa  mpapasaji  ANAHESHIMA,...
.... kumbuka tendo hilo labda  BADO linaweza kuwa NDILO lililomrahisishia MPAPASAJI MWENYE AIBU  kujisikia huru kirahisi MARA NYINGINE!:-(

Ni wazo tu HILI  Mheshimiwa !:-(

Hebu LAGBAJA  aingilie kati na kubadili wazo kimtuno kwa -Konko Below



Au tu LAGBAJA adinye tu na -Gragra

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP