Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati labda INZI naye ni MAKINI!

>> Monday, April 04, 2011

Ila katika UMAKINI wa INZI,....
...... inzi huchezea pia MAVI !:-(

Na wakati kuna BINADAMU wakiwa wanaongelea wayachukuliayo ni MAKINI hawamfikirii INZI,....
.....wanaweza mpaka kuruka kuwa labda UMAKINI haujali ni kitu gani  mtu binafsi anachukulia ni MAKINI  hasa kwa kuwa  labda kuna waheshimiwao BINADAMU kwa yale WATU wengine waliojifunza kuyastukia kiumakini ambao labda chooni wala sio MAKINI angalau kwa kuchamba  baada ya kufanikiwa mwilini kuondoa BAADHI ya  mavi.:-(

Swali:

  • AU?

Ndio,...
.....LABDA kwa watu  pia UMAKINI PEKEE  hautoshi,....
.... hasa kama KITUCHENYEWE kipewacho MAKSI za UMAKINI sio makini  katika AKILI  za  WATU MAKINI  walilojifunza kuwa ndio MAKINI.:-(


NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Na moja kwa moja hebu INI KAMOZE aongelee-Them Thing Deh




Ini Kamoze adinye- Trouble You A Trouble Me



Au tu Ini Kamoze azime tu kwa-HOTTER THIS YEAR



0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP