Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Jibu la MUSA ukilifananisha na la FIRAUNI!

>> Tuesday, June 28, 2011

Yasemekana ,...
...``UKISHANGAA ya MUSA  utayaona ya FIRAUNI!´´:



Kwa hiyo ,...
... Ukiona ya FIRAUNI kabla ya ya MUSA,...
... ya MUSA  labda  kuna atakayedhania ni ya kisenge yani!

Swali:

  • Ila si umewahi kusikia kuwa labda ya kisenge hata kama ni yale ya AISHA  labda tayari hupofua macho watoto kama ni yale ya kiutu uzima kama tu  ya ABDALLAH?




Ndio,....
..... jibu la ya MUSA,....
..... lashangaza pia ingawa  labda MUSA anajibu  hivyo KIRAHISI  kwa wasiojua ya FIRAUNI  kwa kuwa kashawahi kuona  na kuzoea KULIKO WENGINE yale ya FIRAUNI.:-(

Swali:
  • Unafikiri ukishuhudia ya FIRAUNI  hayataathiri majibu yako KIMUSA?


Ndio,..
... hili ni WAZO tu MHESHIMIWA!:-(
SHIKAMOO basi kama umenuna kisa hunielewi!:-(

Hebu King Sunny Ade aingilie kati tena kwa -Kale Sanwa Jowuro Lo



King Sunny Ade akaushe utoko kwa - Samba



Au King Sunny Ade aje tu live tena kwa mtuno-African and American


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP