Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NDIO!

>> Monday, June 06, 2011

Ila``NDIO´´ ,...
...huweza kuwa ni ``HAPANA!´´:-(
... hasa kama  kuna MUOGA na weye unayanayoTISHA aisee!

Swali:
  • Kwani hujawahi kukataliwa kwa sentensi ``HAPANA'' ambazo kwa kawaida ni bomba za ``NDIO´´?
  • Na si labda kuna ``NDIO´´ zako ni hasa kwa kuwa ni muoga tu kusema ``HAPANA´´?
Bisha tu,...
.... lakini  labda HATA  kwa kupiga deki ,...
.... ina maama mpiga DEKI anajaribu  tu KINAMNA kusema HAPANA kwa UCHAFU!:-(

Ni wazo tu hili MKUU!:-(
Jumatatu njema MHESHIMIWA!

Hebu Ninja Man arudie kudindisha - Murder Dem



AU tu Cypress Hill waingilie kati kwa kudai wako  - Under Mi Sleng Teng



Kabla tu Cypress Hill hawajarudia kidongoloso - Rock Superstar

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP