Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Swala la LADHA labda huweza kufanya kuna apendaye BAMIA kama NYAMA!

>> Thursday, June 30, 2011

Na kiladha,...
.... kuna wapendao MDUNDIKO zaidi ya BONGO FLEVA,...
... na kiladha zaidi wameoa MZUNGU!:-(

Swali:
  • Si unajua LADHA ni moja ya DANGANYA TOTO iwezayo kufanya mwenye ladha ya BONGO FLEVA kujidanganya kucheza SINDIMBA hadharani kwa wachezao SINDIMBA hadharani sio UJANJA?
  • Na si inasemekana kuna MPENDA NYAMA awezaye kufikiri ladha ya KISAMVU sio TAMU?

Ndio,...
.... maswala ya LADHA ingawa husahaulika saa nyingine kwa BAADHI ya watu,...
... huweza kudanganya MTU kuwa LADHA ya avionavyo yeye ni vitamu,...
...vitamu ni hivyo tu au vifananavyo na hivyo tu,...
... ingawa ukweli ni kwamba MPENDA samaki labda ladha ya MAHINDI ya kuchoma  kama tu mpenda KHADIJA awezavyo kupenda na HALIMA au basha awezavyo kuwa anainjoi usenge pia  ,...
...nayo HATA KAMA HUTAKI  kukubali kwa kuwa sio LADHA YAKO,...
....bado  kuna mtu kwake ni UTAMU tu!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA hata kama limepinda!:-(


Hebu Marvin Gaye akatizie kwa - Lets Get It On




Marvin Gaye anunishe - Heard It Through The Grapevine



Au tu Marvin Gaye azime manyanga tena kwa-Sexual Healing


2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

EDNA 8:51 pm  

Mmmmh mi thithemi kabithaaa.

Simon Kitururu 5:55 pm  

@Edna: Mmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP