Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tatizo la uwakilishaji MTOMBO hadharani wakati labda inahitaji ujasiri kustukia KINUKA MKOJO huwa ananuka MKOJO hata kisiri kwa BAADHI tu!

>> Wednesday, June 15, 2011

Ndio,...
.....LABDA tatizo la uwakilishaji wa MTU na ya WATU hadharani,...
....NDIO UFANYAO  anachowaza HADHARANI mtu hata mwenye tako lililopigwa pasi,...
...inaweza FANYA bonge la MWALIMU  ambaye hata WANAFUNZI WAKE  wanajua anajua KEMIA ki- kitu HASA anajua ,...
.... WAKATI ANAFUNDISHA  huyo mjuaji KEMIA kikemia  HALAFU HATUELEWI ,....
...na wala LABDA sio KITUJUAYO KIKEMIA  kwa kuwa  hata ya ki -demu YALE YA demu  anataka kulaliwa na dume ndio siri ya kijulikanacho  ,...
...afundishacho AJUAYE kemia  KUWA siri ya MIMBA sio kulaliana kwa watu anaweza  asieleweke  kisa UWAKILISHAJI WAKE tu haueleweki  kwa BAADHI!:-(


Swali:

  •  Si unajua katika mambo KIUWEZO wa KUWAKILISHA VIZURI  kuna BAADHI?

  • Kwani hujawahi kustukia kuna  wenye hata KICHEKESHO AKILINI ila  wakijaribu kukitoa akilini na kutaka kutuchekesha kwenye lanchi YA DINA  kwa mama ntilie- KWA HESHIMA  na tahadhina HATA KAMA  hatujaribu hata kujichekesha kwa kuwa haki ya nani ni kama  kusikiliza Rais MANDELA kajamba na ukicheka labda HAICHEKESHI - si unajua kama huwezi kuwasilisha vizuri hoja labda bado KIRAHISI itakuwa haichekeshi?:-(





Ndio,...
...kuna labda mpaka UWADHARAUO ambao  wakoseacho,...

....labda ni jinsi YA wao  UWAKILISHAJI,..
... na katika kuwakilisha labda  kuna mpaka WAVUAO CHUPI  hata ya akili ,....
...ingawa HAO WAVUAJI wakishavua  INASEMEKANA BADO KUNA wachunguliao SEHEMU ZA SIRI labda hawaoni kuma au mboo ya KITU,...
...kwa kuwa labda  hao ni MAJINIASI ila swala hili si kivyao kuelewa LIMEWAKILISHWAi!:-(


Swali:
  • SI unajua inasemekana kuna mambo kama una akili sana huyaoni?
  • Na si inasemekana hata kwenye dunia yako kuna majiniasi ambao kwa kawaida hufikiri majina ya sehemu zao za siri ambayo kiswahili yasemekana kwa waungwana ni MATUSI?
Ndio,..
...labda saa nyingine TATIZO,..
..ni uwakilishaji wa kijambo,..
... kwa kuwa akuchekeaye ikiwakilishwa VIBAYA  labda unaweza kustukia KAMA  anakucheka vile,.....
..wakati unajua MTU akijamba ikiwakilishwa vizuri KIJAMBO labda ni kichekesho TU  aisee!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu Wagadu Gu waisogeze kidogo upande ipumue kwa - Easy Dancing



Hebu Bunny Mack akumbushie-Let Me Love You




Au Peter Tosh apunguze mtuno kwa - Wanted Dread ......





Na sijui kwanini hebu Peter TESHA amalizie tu kwa -Mama AFRIKA





Nipo bado...:-(







































2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 10:01 am  

Hakika sijawahi kukutana au kumsoma mtu akiandika kama wewe kaka Simon...una kipaji cha pekee...

Simon Kitururu 10:53 am  

@Yasinta: Ni ushuzi mtupu niandikao na labda ndio maana kwakuwa wajanja ujanja sio kuandika ushuzi ndio maana huoni aandikaye ujinga kama mimi.:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP