Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

VISA vya sehemu za SIRI ambazo labda sio UKE - AMBAO hutoka damu bila kuwa na KIDONDA,...

>> Saturday, June 11, 2011

....  na LABDA  tu hata HICHO KITU ni MAISHA!:-(

Na katika MAISHA kuna mpaka VISA  vya TANURI kuchoma MATOFARI wakati ,....
... ni KUNI ZIUNGUAZO na zichomwazo na WATU  katika TANURI ingawa wafikiriacho WACHOMA MATOFALI  kwao  wachomacho  ni MATOFARI tu ,...
.....na LABDA hayo  ni MAISHA!:-(

Swali:
  • Si unakumbuka kwa mchoma tanuri  la MATOFARI inasemekana wakati anachoma MATOFARI kwa kawaida anachoma kwanza kuni ili baadaye MATOFARI yachomeke ila kwa kuwa anafikiri anachoma MATOFARI wakati anawasha moto kwenye tanuri la MATOFALI-ndio maana  kuni husahaulika kuwa zachomwa kwanza?

Na VISA  vya BIKINI kuonekana ni vazi la kawaida ambalo kuonekana ni kawaida  ni KAWAIDA,...
...lakini  bado hata kwa waheshimiwa wenye UMAGHARIBI bado chupi ni vazi lisitiriwalo hata na KIBWAYA na yasemekana kuonekana KWAKE si ruksa,...
.... LABDA ni MAISHA!:-(


Swali:
  • Kwani unafikiri BIKINI na SIDILIA ikiungwa mkono na bonge la  CHUPI tofauti ni nini sana hata kama wewe ni mjanja wa UFUKWENI kwenye BICHI?

Hebu tupate vielelezo:

Tuangalie BIKINI ambazo zikivaliwa nje -kwa wajanja hawashangai



Halafu eti hizo ndude hapo juu ni BIKINI kwa hiyo kuwanazo nje poa .






Hebu tucheki SIDILIA na kificha nyeti aka CHUPI ifichwayo hata na gwaguro au BICHIKOMA ya KAKA  kwa kuwa hata ufukweni kuonekana nayo noma:


Swali:
  • Kwani umeona tofauti yoyote kati ya CHUPI yenye msaada wa SIDILIA na BIKINI kutokana  msaada wa kielelezo hapo juu  ?
NDIO,....
....na VISA  vya MAISHA ni mpaka vya waogopao kufa  wakati kila mtu anajua atafariki,...
... na HILO nalo labda  ni la MAISHA!:-(

Swali:
  • Katika MAISHA umestukia cha maana LABDA  ni jinsi unavyotafsiri MAISHA yako?
  • Na si unajua MAISHANI kuna watokwao na damu  hata kwenye uke wao HATA ULE wa kiume bila KIDONDA?


Ndio,..
... na sehemu za SIRI ,....:
Na ni sehemu za siri, kwa kuwa kuna ya SIRI.
Na moja wapo kisiri, Ya damu yana ya SIRI.
Katika chembe za siri,....


... kisiri chembechembe ni kiunda DAMU hata kama hilo kwako ni SIRI.:-(

Swali:
  • SI unajua siri ya damu haijulikani kirahisi kwa macho au kuguswa tu na ndio maana kuna wenye darubini lakini MDUDU hawauoni?-Kwa bahati mbaya LABDA na hilo labda ni MAISHA



Ndio,...
... katika kububujikwa kwa NIA ya MTU hata kama damu ,...
...au tu hata kububujikwa kwa damu ya MTU,...
.... labda kumbuka si lazima MTU abubujikwaye DAMU ana KIDONDA,...
... na hayo ukichimba undani labda ndio TAFSIRI ya MAISHA!.:-(


Swali:
  • Kwani kwako MAISHA ni nini?
Ni wazo tu hili na kutolielewa ni RUKSA tu katika wazo  hili MHESHIMIWA!:-(
SHIKAMOO basi MHESHIMIWA kama umenuna kisa nimeongea!:-(




Hebu chapuchapu  ASWAD waingilie tena kwa -GIMMIE the DUB


Lil Bitts atekenye tena - Hold Me



Au tu BUSTA RHYMES aisogeze pembeni kwa - What It Is




Kabla  BUSTA RHYMES hajamalizia tu  tena kwa kui-Touch It

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mwanasosholojia 2:17 am  

Mmmh!

Rachel Siwa 3:16 am  

Duhhhh!!!!!!kaka nimepita hapa lakini nimefumba macho!!kweli Kitururu mawazoni.

Simon Kitururu 12:35 pm  

@Mats: Mmmmh indeed!

@Rachel:Fungua tu macho hutapofuka unajua ukiona ya wakubwa!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP