Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Wakati KABASELE YA MPANYA hashauriwi KUKUMBUKA kuwa MAKINI na yale yote AFIKIRIAYO ni yasiyo MHUSU!:-(

>> Thursday, June 02, 2011

Ndio,...
... labda JIHADHARI na KUPUUZIA ,...
.....UDHANIAYO haya-KUHUSU ,...

.... kwa kuwa hata MPENDA  chupi ZIBANAZO matako yake KWA KUWA KWAKE nzuri,....
.....adhaniayo HAYAMUHUSU hasa ,....


.... kwa kuwa wakati anakutananayo HAYO AFIKIRIAYO  kwa kuwa ni ukwaju basi HAYAMHUSU kisa WAKATI KAMA HUO huwa anafikiria MCHELE wakati huo kwa kuwa  AFIKIRIAYO KUWA YANAMUHUSU huwa yanamkumbusha WALI,...



.... hayo NANIHII  UKWAJU yanaweza kuwa ndio MUHIMU katika apendacho pia ZAIDI kificha nyeti  kwa kuwa labda hayo ndio MUHIMU katika USHONAJI  wa CHUPI yake aipendayo hata ILE  yenye MCHEZO wa kumuingia MNATO kimwana HUYO  kama apendavyo WALI ,...

... na haki ya nani tena KIUMUHIMU  afikiriacho hakimuhusu ndicho MALIGHAFI katika kijengacho CHUPI kikuifanyavyo kuwa   MLONDA aka ASKARI MGAMBO  alindaye mpaka kitobo  ATAKACHO KILINDWE kwa kuwa kwake ni MUHIMU ,....


.... kile KITOBO cha siri kwa kuwa  VYA SIRI  vyake mara nyingi hata katika ``DUKA LA MZUNGU LI WAZI lauza MCHELE na NAZI.....´´ ni chupi,...
.....KICHUPI.:-(



NIMEACHA wazo hili MHESHIMIWA,...
....na ni  RUKSA  kutolielewa AISEE !:-(



Hebu Nasio Fontaine aingilie kati kwa - Rough Road



Vybz kartel aharibu kidogo kwa - British Love



Au tu hebu tuache utani na Billy Ocean arudishe ustaarabu kwa - Suddenly

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 10:51 am  

Mmmmhhh!

Simon Kitururu 3:42 pm  

@Mtoto Mzuri Yasinta: MMMmmmmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP