Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UCHESHI: Bill COSBY aliwahifikiria jina lake ni JESUS CHRIST ,Rais mtarajiwa HERMAN CAIN aimajini THERE IS NO PIZZA na RICHARD PRYOR ajua DANGANYA za WATOTO !:-)

>> Saturday, October 29, 2011

Swali:

  • UMENUNA?
Ndio,..
... baada ya KUNUNA kuchekelea kanyau kuna starehe zake aisee!

Ila kwa BAHATI MBAYA kila mtu  anachekeshwa na vitu tofauti,...
....na ndio MAANA wakati mwingine anaangu kuna WACHEKAO.

Hebu RICHARD PRYOR asimulie
-When KIDS lie



Halafu  tudeku ni kwanini ,...

....Bill Cosby -Thought He Was Jesus Christ



Cheka BASI bwanaaaa,..
... si unajua KUCHEKA ni DAWA?

Au tu Rais Mtarajiwa wa MAREKANI  HERMAN CAIN ,...
.......achukue side ya PIZZA katika- Imagine There's No Pizza



Tukiacha utani ,...
... hebu John LENON arudie -IMAGINE


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP