Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Watakacho WATU hata kama hakileti MAANA kwako, LABDA maana iko ndani ya lao TAKWO!

>> Saturday, October 22, 2011

Na tatizo kubwa la WASOMI au tu wajuao mpaka  wanapitiliza na kudhania wanamiliki kujua hata TAKWO  la watu wengine,...

..... yasemekana ni kutumia miakili yao  KUOANISHA  KULETA MAANA kwa KITU  na  KUTAKWA kitu.:-(


Swali:
  • Unabisha?
  • Hujastukia kuna watu wanaamini watakavyo na wewe inabidi kiaina uvitake hivyo vidude?
  • Si kuna vielewekavyo  na kuleta maana kwa wengine tu hasa kwa kuwa wao sio wewe?

Ndio,...
... utakacho,...
... labda  ni muhimu kukumbuka kuwa labda hicho kidude hata kama ni DINI au tu tako kuwa  kwa wengine haki ya nani  hicho kidude HAKINA MAANA.:-(

NI wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(

Hebu Keith Sweat aanzishe tena upya kwa - Twisted




Marving Gaye arudie-Sexual Healing



Donell Jones adai- U know what's up


Au tu R. Kelly azime tena kwa - Ignition

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP