Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Afrika KUSINI na vyombo vya HABARI!

>> Wednesday, November 23, 2011

Ya: ``STATE SECRETS´´ law....
...na dalili za WANAHABARI kufungwa midomo.....

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Goodman Manyanya Phiri 1:37 pm  

Hapa ndio tumekwenda na maji tu, hata nasi wanablogu.


Uzuri wa maisha ni kwamba kila unapomtolea nguruwe mkuki kumbuka utakuwa mchungu huohuo mkuki hata kwako.


Na hisi serikali ya wenzetu imejichongea yenyewe mkuki wa kuondolewa madarakani mithili ya serikali za Afrika Kaskazini.


Niambie Simon nawe Msomaji: Sheria hii itadhibiti kivipi "Twitter"?

(Methinks this is all a closing of the stable after the horse has already bolted--yaani unafunga lango la zizi kwa farasa ila asitoroke BAADA YA FARASA MWENYEWE KUTOWEKA!!!)

Simon Kitururu 8:38 am  

@Mmkuu Goodman: Ndio hapooo! Ila nahisi hii kitu itakuja hata Tanzania.:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP