Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Jumuiya ya Afrika yang'ara ndani World Trade Market Uingereza

>> Thursday, November 10, 2011

Salam,


Leo ilikuwa ni siku ya jumuiya ya Afrika mashariki ambayo hufanyika kila mwaka katika maonyesha ya WTM hapa nchini Uingereza. Kwa kawaida sherehe hizi hufanyika katika banda la nchi ambayo ni mwenyekiti wa Afrika Mashariki, kwa hiyo mwaka huu tafrija hii ilifanywa kwenye banda la ndugu zetu wa Kiburundi. 

Asanteni,

URBAN PULSE CREATIVE

Asamoah Gyan alipotembelea Banda la Tanzania


Asamoah na wapenzi wake kutoka Tanzania

Bw Meena. Bw Issa. Mh A. Jihad Naibu Balozi Chabaka, Jonathan

Frank, Bw Issa na Bi Jestina

Mwenyekiti wa bodi ya utalii ya Uganda akiwa na Bw William Byeruhanga

Mh Jihad akiwa na wafanyakazi wa Bodi ya utalii  ya Zanzibar
Waheshimiwa Ephraim Kamuntu, Najib Balala na Victorie Ndikumana

Waziri Maige na  Naibu Balozi Chabaka wakipokea zawadi ya mpira

Waziri wa Utalii na Mali asili Mh Ezakiel Mahige



Nimetumiwa na:
Frank Eyembe wa Urban PULSE Creative

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP