Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika kufupisha`` SHENZI´´

>> Sunday, November 06, 2011

``KIREFU´´ kuna wasiosikiliza,...
... na pia hata WASIOSOMA ya MUHIMU kwa kuwa tu eti yako ``KIREFU´´.:-(

Swali:
  • Si kama REFU lahitaji UREFU basi labda acha tu liwe REFU?

Na  kwa kuwa kuna WAFUPISHAO ``kifupi´´,...
... isije tu kuwa  ``KIFUPI´´ maana yake nayo  KIMAANA imefupishwa na kuwa fupi!

Swali:
  • SI kifupi  bado huhitaji kuwa bado ni kitu kizima?


Ndio kuna vipufishwavyo  ,...
.... na labda ni vifupi kwakuwa sio vitu vizima kiujazo!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(



Hebu tu BILAL aanzishe tena kwa-SOUL SISTA



Bilal aongezee - Fast Lane



Halafu tu BILAL azime kwa - Sorrow Tears and Blood

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP