Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna wadhaniao UJINGA KISIRI CHOBISI unanafuu kuliko UJINGA HADHARANI kwenye UMMA!

>> Thursday, November 24, 2011

Lakini,....
.... labda MJINGA,...
.... ni MJINGA tu kama kitafsiri za wadaio kuna BINADAMU mwenye pumba za KIJINGA,...
... hata kama ujinga wake MHESHIMIWA kafanya SIRI.

Swali:
  • Kwani KUHUSU YA SIRI-unafikiri HATA kwa kuficha HATA nyege KISIRI inamaana mwenye nyege hana NYEGE kisa anazificha na hiyo nni SIRI?

Na ndio ,...
..... hata kwa KISIRI,...
....... labda kifanyacho MTU hufanya hicho ni SIRI,....
... ni kwa kuwa UKWELI NI KWAMBA jambo lifanywalo siri hilo SIO SIRI na  lipo PALEPALE na ndio maana mwangalifu katika kumdeku mficha SIRI ,...
...yasemekana  jinsi MTU afichavyo siri ndio KIFICHUA SIRI.:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!


Hebu MCHUNGAJI Solomon MUKUBWA abadili wazo na kurudisha hali ya hewa laini kwa watu baadhi kwa kudinya pini la kikristo lile-Mfalme Wa Amani



Halafu Zain Bhikha aingilie kati  mchezo kwa - Give Thanks to Allah


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP