Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KWA KUWA si kila avutaye SIGARA hufa na SARATANI ya MAPAFU,.....

>> Sunday, November 06, 2011

..... Lakiiiiniiiii!

Na sio kila MALAYA hupata magonjwa yaambukizwayo kwa UASHERATI,....
....... Lakiiiiniiiiii!


Na sio kila KICHAA alaye majalalani huugua kipindupindu,....
..... LAKINIIIII!




Swali:
  • SI nanihii isababishayo NANIHII si kila ANANILIYE hufanikiwa kuwa na NANIHII na ndioa maaana sio kila mfanyakazi bora ana MSHAHARA MZURI na sio kiala ananiliwaye hupata MIMBA?


NI nanilii tu hiii BINGWA na wala usikonde.

Hebu AL GREEN abadili NANILII kwa ndude- Love and Happiness



Al Green kwa kuwa ni JUMAPILI kikristo adinye pia - Too close to heaven




Hebu Extra Large waingilie kati na kuturudisha ZIMBABWE kwa - Muti Wemusango



Xtra Large waongezee ya - House Girl


Wadodose ile ndude -MUROORA



Au tu hapahapa ZIMBABWE Xtra Large wazime kwa -Kushamura Newe





0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP