Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda wenzetu WAZURI na wale wenye MIAKILI SANA watuachie kwanza siye wengine NDIO tuwastukie kwanza kuwa wao ni WAZURI au ndio WENYE MIAKILI sana!

>> Thursday, November 24, 2011

YATUMIAYO AKILI SANA ,......
.....labda ni YA KAWAIDA kwa  MWENYE akili,...
....a.k.a  yatumiayo akili sana KWAKE ni kawaida !

Na kwa isemekanaye ni  MZURI SANA,...
... labda yatakiwa UZURI wake uwe kwake ni KAWAIDA  kwa kuwa umemng'ang'ania  na kwake huo sio kitu cha kutia akili,...
....a.k.a UZURI  kaumbwanao kwa hiyo huo  kwake ni KAWAIDA.

 Swali:
  • AU?

NDIO,...
... labda kustukia yatumiayo sana AKILI,...
... labda hiyo ni shughuli ya WENGINE ambao hustukia nani ni mwenye AKILI,...
... kama labda kama MTU  ni MZURI  labda hiyo  ni shughuli ya wengine  wastukio kwanza !

LAKINI:
  • Si labda mtu akisubiria WENGINE   , wengine wanaweza wasistukie anamiakili  na pia haki yanani  labda ni kweli  yeye ni mzuri kweli  hata bila nguo kitu ambacho JAMII  kwa jamii IJIFUNDISHAYO  miakili na UZURI wake unaweza USITAMBULIWE?:-(

Ndio,..
... kuna WENYE akili wajijuao wanamiakili WASIOTAMBULIKA na JAMII kwa kuwa jamii  inakipimo tofauti cha nini AKILI SANA na usipopasi  mtihani wa jamii  basi weye hutambuliki,...
... kama tu ijulikanavyo kuwa JAMII ikijifunza kupenda wenye tako lililopigwa pasi  WAZURI  wenye tako kubwa huondoka kwenye kipimo cha wazuri katika jamii kisa tako kubwa na matege kwa mbaaaaali!:-(

Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(


Hebu DIDO aingilie kati na kulainisha kwa-THANK YOU





Ghafla Youssou Ndour aingilie kati kwa-Medina



Halafu Youssou N'dour azime kwa -Africa, Dream Again

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP