Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Leo baada ya kutoka KANISANI: Helloo dhambi -MAMBOZ vipi aisee!

>> Sunday, November 13, 2011

Ndio,...
.... labda DHAMBI MPYA  ya ufikiriaye hana DHAMBI kanisani kwa kaupole kake ,..
...UCHUNGAJI WAKE ulivyo KIASKOFU... 
...uimbaji KWAYA WAKE,...
.....au tu hata kwa akuangaliavyo kwa MAHABA katika jina la BWANA kiuchumba,..
.....na wala hata sio kwa jazba yake ya kunena kwa lugha ,...
.... labda ni kweli DHAMBI MPYA za walio KANISANI huanziaga hukohuko KANISANI lakini!:-(

Swali:
  • Si MAHALI popote na WAKATI wowote ni wa CHAI hata katika ya CHAI?

SAMAHANI NILITAKA KUSEMA:
  • SI labda mahali POPOTE na WAKATI WOWOTE MPEKECHO -dhambi KIMPENYEZO inaweza kupenyeza na kugusagusa eneo au tu kutekenya hata kidude hata kwa watiwao majaribuni na PAJA bila kuona PAJA?

Ndio,...
... labda ni kwa MAPENZI YA MUNGU TU,...
... kuna atakaye piga kambi au kuchezea midoli MBINGUNI!:-(

Ni wazo tu hili KAMANDA na samahani kama kimkwazo nimefanikisha!:-(







Hebu R.E.M waachie- Losing My Religion



Au tu R.E.M wapunguze kwa kitu kwa-Everybody HURTS


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP