Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MTANDAO / DOT.COM yasemekana wafanya watakao KUINGIA KIUNDANI KIDUDE wachezee JUUJUU!:-(

>> Saturday, November 12, 2011

Ndio,....
.... yasemekana kutokana na MTANDAO kuwa na MENGI yaridhishayo WAJANJA kirahisi kwa KUYAPAPASA kwa JUUJUU,...
.... kuna WENGI  waliofikia kuacha  hata kuufikiria UTAMU ule  ulioaminika zamani wa kuchovya VITU kiundani!:-(

Swali:

  • Unafikiri INTERNET haifanyi WAJIFANYAO WANAJUA ujuaji wao  wa VITU uwe ni  wa JUUJUU kisa ghafla wanataka kujua kila kitu?

Ndio,...
.... labda hakuna mwenye MUDA wa kujua KILA kitu,...
.... na kwa kuwa uwepo wa MENGI mtandaoni unasababisha kuwe na WENGI watakao kujua kila kitu,...
..... labda watakao kujua kila kitu wanahatari  yakutojua KILA KITU na wajuavyo kuwa WANAVIJUA kwa JUUJUU tu!:-(


Ni wazo tu hili KINGUNGE!:-(


Hebu turudi GABON ili Oliver N'GOMA aanzishe upya tena kwa -Muetse




Oliver N'Goma arudie - Mayumba



Halafu Oliver N'goma azime kwa-Julie

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP