Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika TASNIA ya KIFICHO ile ya MHESHIMIWA kuonea aibu anachowaza HADHARANI!

>> Thursday, January 26, 2012

Kuna tasnia ya AIBU,...
....NA LABDA ILE AIBU ya kuonea aibu hata UNACHOWAZA,....
.....kisijulikane  unakiwaza HADHARANI bila sababu MAALUMU!:-(

Swali:
  • AU?

Ndio,...
....na LABDA KUNA KITU katika  yasemekanayo HATA katika  kila KITU,....
... kama katika ya kila KITU,....
.... inahitajika kukisema katika HADHARA  fulani hata kama HADHARA yako ni BAFUNI wakati unaoga na UKO PEKE YAKO kisa unakionea aibu ingawa wakati huo hicho ndicho KILA KITU!:-(

Swali:
  • AU?
  • Kwani haujui kikusumbuacho rohoni moja ya dawa ni kukitamka?
Na kama unajiheshimu na utakacho ni kutosikika katika ambacho wakati huo kiumuhimu ndicho kila kitu kwako,...
....labda BAFUNI  ukiwa peke yako ni MUHADHARA,...
.... na peke yako kwenye kelele za maji SEMA KWA SAUTI utoe DUNGUDUNGUDUNGUNYIKO ROHONI  kwa kuwa hapo bafuni ni HADHARA yako ya kuongelea ambacho bado huna nguvu yakuongelea hadharani katika hata swala la kwanini chupi yako na sio MAWAZO YAKO ,...
....ghafla NDIO  inachafuka zaidi NANIHII kuliko zamani INGAWA bado wataka hiyo iwe siri yako kwa watu walio HADHARANI kwenye wambea, WAZAZI uwaheshimuo mpaka kwa mpenzi wako kibogoyo bado wadhani ni busara iwe SIRI kwa siri ili utunze woga wako uliouzoea wakutotaka kuchafua NANIHII!:-(

Swali:
  • Unabisha?
  • Na si unajua kuchafua hata hali ya hewa kimawazo au kiushuzi  maranyingi ni tatizo kubwa kisaikolojia kwa alipaye uzito chafuo hasa kwa kuwa kwa wengine labda wala sio CHAFUO?

Ndio,...
.... LABDA kuna tasnia za watu zilengazo ya KUONEA AIBU WATU ambayo usipoona aibu utatia AIBU kisa maswala tu ambayo JAMII imejijengea mpaka YAFANYA WANAJAMII BAADHI WALIO WENGI wanawazo MPAKA  la kuficha ndani ya CHUPI YA MAWAZO yale MAWAZO yahitajikayo kuwa UCHI HADHARANI katika jamii,....

.... kwa kuwa ETI labda TU labda visivyosemwa HADHARANI ili MHUSIKA ATUNZE ADHANIAVYO NI HESHIMA hadharani,....
.....na labda ndio MAANA kuna watu wanaendelea KUFA BILA SABABU SASA HIVI PIA kisa WAVIJUAVYO WANAAIBU navyo  HADHARANI na wanajiheshimu navyo ambavyo visingewaua ila wanavionea AIBU ,...
....ila VYAWAUA  kwa kuwa WAHESHIMIWA  wale WAATHIRIKA wawaheshimuo ,...
.....kwa matendo yao yametabiri YASIYOHESHIMIKA ni NINI- na yawafanya WAATHIRIKA wajisikie AIBU mpaka KUFA kwa yatibikayo kisa WANATAKA waheshimike KATIKA JAMII YA wawaheshimuo!:-(

Ni wazo tu hili NGULI!
Siku Njema Mkuu!

Hebu Al Green abadili tena kwa KURUDISHA old schooL soul ile-Tired Of Being Alone




Al Green aongezee ndude-Love and Happiness





Halafu Aretha Franklin aongezee dozi kwa -Chains of FOOLS



Aretha Franklin alainishe kwa makali-Respect



Ila tu hebu SHAGGY , RIHANNA na Mr BEAN wajaribukuzima kwa -Bombastic



Au tu SHAGGY mwenyewe ndiye azime kwa-Boombastic




0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP